malembeka18
JF-Expert Member
- Jan 26, 2018
- 2,781
- 2,727
Duu mkuu kama ulishamwambia jinsi mama yako alivyo kabla hujamuoa alafu akakubaliana na hiyo hali alafu baada ya ndoa anjifanya kugeuka..huyo simke hakufai ushamweleza madhaifu ya mama yako hapo kabla ya ndoa akakubali kuishi nae ndani ya madhaifu yake leo anabadilika huyo acha alitaka ndoa sio maisha