hellow wakuu.
yawezekana nikawa nimetoa supraizi kwa watu.
nimewamithi munooo. ila nimeamua kurudi baada ya kumaliza mizunguko yangu.
nomba kuwasalimia wakubwa ambao niliwakuta na nadhani bado wapo japo sijajua kama nawakumbuka wote.
kwanza salam kwa kaka mkubwa Mr Rocky, Zion Daughter[my.. ila sijua kama kapata..] Erickb52[nina wasiwasi nimesahau namba ya mwisho], ladyfurahia[mama mchungaji sina uhakika kama anaendelea na wokovu] Kongosho, Rutashobolwa[nahisi nimekosea spelingi], mary hunbig[salamu spesho], Donn, charminglady, Dena Amsi, Asprin, Kaka Kiiza, Lizzy, afrodenzi, Teamo, Fidel80, Baba v, Fixed Point, Mzee wa Rula, Preta, paka Jimmy, Dark City, wise lady, Kaizer Bishanga, Preta gfsonwin Madame B[sijui kama anaexist na sacosi yake au amebadilika ila atakua amezeeka] The secretary[huyu atakua koko tayari] figganigga, Chocs[kashakua mmama huyu] Lily Flower[nadhani sasa hivi tumuite lily tree] Paw, Invisible[huyu bado namwogopaga] Nicas Mtei, Mentor[huyu anko najua mvi tayari]
n.k n.k n.k nadhani nikirudi nao watakua wamekuja
jamani eee maswali baadae mnanikaribisha maana hamuachi kuanzisha maoni mapya kama bunge la katiba :A S wink::A S wink::A S 11::A S 11:
wasalaaaaaam.
halafu nataka niulizie mwenyekiti wa naniliiiu... ndoa na maneno yanayofanana na hayo ni nani
nawasilisha.
stevoh asante kwa kutukumbuka...mlipotea sana wakubwa...ila naamini mmerudi.hellow wakuu.
yawezekana nikawa nimetoa supraizi kwa watu.
nimewamithi munooo. ila nimeamua kurudi baada ya kumaliza mizunguko yangu.
nomba kuwasalimia wakubwa ambao niliwakuta na nadhani bado wapo japo sijajua kama nawakumbuka wote.
kwanza salam kwa kaka mkubwa Mr Rocky, Zion Daughter[my.. ila sijua kama kapata..] Erickb52[nina wasiwasi nimesahau namba ya mwisho], ladyfurahia[mama mchungaji sina uhakika kama anaendelea na wokovu] Kongosho, Rutashobolwa[nahisi nimekosea spelingi], mary hunbig[salamu spesho], Donn, charminglady, Dena Amsi, Asprin, Kaka Kiiza, Lizzy, afrodenzi, Teamo, Fidel80, Baba v, Fixed Point, Mzee wa Rula, Preta, paka Jimmy, Dark City, wise lady, Kaizer Bishanga, Preta gfsonwin Madame B[sijui kama anaexist na sacosi yake au amebadilika ila atakua amezeeka] The secretary[huyu atakua koko tayari] figganigga, Chocs[kashakua mmama huyu] Lily Flower[nadhani sasa hivi tumuite lily tree] Paw, Invisible[huyu bado namwogopaga] Nicas Mtei, Mentor[huyu anko najua mvi tayari]
n.k n.k n.k nadhani nikirudi nao watakua wamekuja
jamani eee maswali baadae mnanikaribisha maana hamuachi kuanzisha maoni mapya kama bunge la katiba :A S wink::A S wink::A S 11::A S 11:
wasalaaaaaam.
halafu nataka niulizie mwenyekiti wa naniliiiu... ndoa na maneno yanayofanana na hayo ni nani
nawasilisha.
Aisee kaka nakusalimu pia.
Nimerudi sasa hope tutaonana
Kaka salama kabisa aise
Nipo mkuu naamini tutaonana tuu kamji ketu kadogo haka
Aise Erickb52 futa kauli yako mimi siko #teambazazi kabis aniko #teamrafiki na akina Tized, Ntuzu, utafiti, Mndengereko na kiwatengu
mmmh hapa unaingiapabaya mie niko makini kama fundi saa.....stevoh:A S wink::A S wink: to you sweety....... eti unahela? karibu yani japo ujanitaja karibu mweeee njoo huku nikupe juice badae nitakupa mbege.... Khantwe sihitaji mumeo tena Ntuzu... nipo na stevoh huku .... baby Mr Rocky i stil love but chunga ndoa yako kwanza nipo na kitu kipya ila nipo kwenye kautafiti kidogo kujua anahela au hana ? kama anazo kwa kweli kuanzia sasa mpaka atakapo rudi migodini nipo nae huyu mgeni wetu stevoh... mweee stevoh karibu sana nimefurahi kukuona:A S wink::A S wink::A S wink:
mmmh hapa unaingiapabaya mie niko makini kama fundi saa.....
yani wewee... una yako... usitake kuniletea vurugu hata sijatulia .... kakwambia nani mie mgeni???...ni mimi ndio natakiwa kukukaribisha... hivi unajua sakata la mzungu wewe??... hapo ulikua hujazaliwa ongea na wenye mji wakupe story ilivyokua....
yaani huku kwa haya majibu yenu napaogopa bora nikakae kule kwa wanasayansi na wafanyabiashara nadhan itasaidia...
kaka yangu Mr Rocky huyo babu uliyeeenda kwake kutafuta dawa kweli umempata na amekupata umekua kiwembe mpaka nafikiria tufute undugu...... haya ntarudi baadae maana huku hapakaliki....
nani kakufundisha hiyo tabia? sasa ntakukuta wapi??
Mhhh yaani ,unanipiga kibuti cha muda kwa sababu ya pesa za madafu za stevohJamani usiondoke nakupenda Mr Rocky nakupa kibuti cha siku mbili niwe na mgeni mwenyeji
Chocs ni just kiss tuu bana na haina masharti kabisaFrench kiss.... a BIG NO
Afu utakua unahitaji maombi ww
stevoh sijaenda kwa mganga yoyote bana ila ni muda tuu wala usinikane kaka yake wala kunikataa maana sisi ni ndugu eti na tunafichiana madhambi yetuyaani huku kwa haya majibu yenu napaogopa bora nikakae kule kwa wanasayansi na wafanyabiashara nadhan itasaidia...
kaka yangu Mr Rocky huyo babu uliyeeenda kwake kutafuta dawa kweli umempata na amekupata umekua kiwembe mpaka nafikiria tufute undugu...... haya ntarudi baadae maana huku hapakaliki....
stevoh asante kwa kutukumbuka...mlipotea sana wakubwa...ila naamini mmerudi.
Pia narudi kundini soon.
Ila mke wangi Chocs yupo ananiwakilisha km kawa km dawa huku akilindwa na Mr Rocky a.k.a mkuu wa Mabazazi wa #Teambazazi