Chocs
JF-Expert Member
- Aug 21, 2012
- 8,403
- 4,763
stevoh karibu sana tulikumith mno
Nina mke anaitwa Dena Amsi na mchepuko unaitwa miss chagga hao usiwaguse na wakati huo huo namkiss Khantwe ambaye ni mke wa Ntuzu na Kasinde mke wa Tized na wakati huo huo Tyta naona anakuja kwa kasi kuwa na nyumba ndogo nyingi Baba V ambaye alikuwa mwenyekiti kashapotea kwa kuwa aalikamatwa na mke wa mtu na Arushaone mpaka sasa ahjui mke wake ni nani wakati alikuwa King Mswati wa Chit chat Preta amezidi kupendeza na kwa sasa amekuwa katoto kabisa wakati huo huo Chocs amemkana Erickb52
cc kiwatengu, Mndengereko, Tized, utafiti, Ntuzu
Binamu binamu bunamu, unaniuzia kesi isiyokua na hakimu ujue
Mie bado m'bichiiiii... hata Erickb52 analimanya hilo!
Last edited by a moderator: