Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 42,568
- 94,833
Mnakera!
Mnakera!
Wengi mmefanana
Ulivaa ndom ngapi???Huwa siuzi mechi kizembe namna hiyo!
Tuanzie hapo kwanzaAsilimia 65 ya Hawa wajasiliamari wanafanyaga hizo,watu wanapaa Hadi China anakaa mwezi then anarudi na mzigo kiasi wa kuzugiaKama yumo humu basi,dukuduku limenifika shingoni nikaona nishee upendo!
Nimeweka hapa ili muwe makini na hawa viumbe!Fikiria huyo jamaa yake pengine ndiye humlipia kodi halafu anajua baby wake muhangaikaji anafanya ujasiliamali!
Hapo hapo mkuu,wengine hupenda kusema jirani na maua ya juu!Hapo mbele huwa ni bus stop ya magari yaendayo GGM!Vipi ulitembelea Usbon pub?Pale ni hatari!!Duhh napakumbuka Sana hapo Spice lodge jirani na Sky Line au soko jipya nimewahi kutunukiwa bikra hapo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nilimla tunda kimasihara,yeye ni full time job!
Moja tu,kwani wewe huwa unavaliwa ndom ngapi?
Kabisa mkuu,nimejifunza jambo kwa ushuhuda kabisa!Asilimia 65 ya Hawa wajasiliamari wanafanyaga hizo,watu wanapaa Hadi China anakaa mwezi then anarudi na mzigo kiasi wa kuzugia
Niliahidi nikiwa nammezea mate,shida inaanzia hapo!Umeahidi kutunza siri, afu umekuja kuileta huku na code umetoa, hamna tena siri hapo...
Huna kifua mkuu....
Sent using Jamii Forums mobile app
Dukuduku tu limenikaba!
Usikonde nitakusababishia PM,ila mpange kibaharia asijejua nimekupigia pande!
Akina PoshqueenWa h
Wa hivi ni wengi sana wanasafiri Nairobi, kampala, south Africa, china, dubai na Uk. Wakirudi wanakuja na vifurushi vua kuzugia biashara za nguo, viatu na hereni. Wanaposti Insta, whatsapp, na twitter. Si rahisi kuwaelewa kama hujambamba.