Swet-R
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 5,611
- 8,097
Nilimla asubuhi kabla hajashikwa shikwa maana mida ya kuingia lindoni ni jioni!Nenda kapime corona sasa. Maana hujui kashikwa shikwa na watu wangapi
Mmh sijui wakoje
We mwanaume kuingizwa mkenge au mjusi atajua mwenyewe cha muhimu kakwambia anatafuta mtaji, alipiwe kodi asilipiwe pesa aitoki kwako kwani shida ikwapi? Acha umbeaVipi kuhusu huyo baharia ambaye ndiye mtu wake?Huoni anaingizwa mkenge?Wakati huo huo huenda jamaa analipia kodi huku akivimba amepata mwanamke mchakarikaji kumbe garasa!Tunapeana funzo ili na wengine wafunguke kuwa makini na wapenzi wao!Halafu kwa nilivyosikia wadada wengi huwa wanasafiri kwenda huko maeneo yenye migodi kuuza miili yao maana wanasikia wanaume wa huko wanatapwanya fedha hovyo!
Yeye akilipia room kwa hela ya siku inaweza ikazaa mara tatu mpaka nne kwa siku moja. Mbona hata town hapa Dar kwenye barabara zilizounganishwa na guest houses wapo wengi sana na ndio mitindo yao hiyo?Ningeshangaaa kama usingemtafuna .
Najaribu kuwaza..kalipia room 10000..... Mteja wake atalipa tena iyoiyo 10000....
Aahhh kumbe jamaa analipia room , nabado atalipia Gharama...
Wanawake wana akili balaa !!! Hahahahhaa ni utafutaji .
Sasa wewe ulitaka kula tu bila kuliwa,haiwezekani!!!😅😅😅Mi nilikula mpangaji wangu. Kosa kubwa! Kodi ilipoisha akataka kunikopa! Nilimvumilia mwezi mmoja, wa pili nikampa notisi kuwa nataka kufanya ukarabati nibadilishe biashara, ndio ikawa ntolee!
Watu wanakuuuufa kila siku kwani kwasababu ya kununua mbunye?? Acha kueneza habari za uongo na kuwapanikisha watz ntatoa taarifa kwa wizara husikaHapo mwisho ndo umeharibu kitendo cha kumwomba mchezo ingali unajua ni kahaba.
Ushakufa mkuu,njoo uchukue rambirambi yako kabisa wasije wakala watu wwngine ukiondoka huku
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamaa hana fadhila kabisa 😥 😥Sasa wewe ulitaka kula tu bila kuliwa,haiwezekani!!!😅😅😅
Hawa makahaba wenye plan za future huwa wako makini na kutumia kinga,pamoja na hayo sikuuza mechi!Nilitumia mpira!Hapo mwisho ndo umeharibu kitendo cha kumwomba mchezo ingali unajua ni kahaba.
Ushakufa mkuu,njoo uchukue rambirambi yako kabisa wasije wakala watu wwngine ukiondoka huku
Sent using Jamii Forums mobile app
Mmh umeguswa sana,au nawewe unapitia humo humo?We mwanaume kuingizwa mkenge au mjusi atajua mwenyewe cha muhimu kakwambia anatafuta mtaji, alipiwe kodi asilipiwe pesa aitoki kwako kwani shida ikwapi? Acha umbea
Hapo inamaana kama akipata wateja watatu kwa siku,hao wateja watalipia 30,000 chumba!Demu kalipia 10,000 so hapo anabaki na 20,000 nje ya malipo ya ngono!Na kila mmoja kama atalipia huduma 15,000 maana yake hapo ni 45,000!Ukijumlisha na ile 20000 jumla inakuwa 65,000!Hapo bado kama hajapata mteja wa kulala maana dau linakuwa kubwa!Kiufupi wanawake wazuri mtaji wameukalia!





😀😀😀 Halafu alijilengesha mwenyewe kimasikhara hivi. Nilienda kutazama mambo ya kurekebisha kwenye nyumba ya jirani yake kama maandalizi ya mteja mpya. Akanikaribisha chai tu ikaleta na hayo mengine.Sasa wewe ulitaka kula tu bila kuliwa,haiwezekani!!!😅😅😅
Huyo dada huwa akirudi na bidhaa zake mpaka majirani wanachachwa,na huwa anawakopesha vizuri tu!Eldu 65 hesabu ya coaster kwa siku mikoani, duh kweli wanawake wazuri wana mtaji
Sent using Jamii Forums mobile app
Na wewe si ni moja ya wateja wake??Mmh umeguswa sana,au nawewe unapitia humo humo?
Mimi huwa nikitingwa nanunua papuchi,hilo sikatai!Ila mimi sikuwa mteja wake maana alipa bure kabisa!Na wewe si ni moja ya wateja wake??
Mwache mwenzio afanye biashara mkuuHuyo dada huwa akirudi na bidhaa zake mpaka majirani wanachachwa,na huwa anawakopesha vizuri tu!