batmanwafez
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 882
- 1,341
Habarini wanajamii wenzangu. Nahisi hii itakua post yangu ya kwanza upande huu adimu wa malove love...
Anyway twende moja kwa moja ndani.
Mim ni kijana nipo mid 20s kwahio sio mzee sanaa.
Mwaka jana kwenye mwezi wa kumi hivi kuna jamaa tupo nae kazini pale akaja na kabinti. Mh kasichana kazuri zuri hivi, mim hapo hapo kakawa kameshika attention yangu.
Sasa baada ya kale kabinti kuondoka...kwenye maongezi yetu na jamaa nikachomekea kumuuliza jamaa kuhusu hako kabinti.
Jamaa akaniambia ni mdogo wake ila hawako related sanaaa...ila wanaitana kaka na dada. Halafu pia akaniambia kwamba kapo single.
Enhh mim kusikia hivyo nikapiga vigelegele...yani furaha sio ya dunia hii.
Bhas nikwambia kimatani akalete siku nyingine....maana mwenyewe nipo nipo tu.
Baada ya kama wiki hivi, mara paap kabinti kamekuja kazini kumcheki kaka ake.
Mmh bhas nikafanya juu chini mwishowe nikajikuta naongea nako halafu kakanipa na namba.
Bhasii mambo yakaanzia hapo sasaaa...mapenz moto moto, yani nilikua na muda sijaskia hivyo aiseee.
Bhasi nikagundua kumbe hakana kazi na kanaishi na shangazi yake. Shangazi yake ni nurse so mara nyingi yupo job...mara shift ya usiku mara mchana. So kanashinda peke yake home.
Mwezi wa kumi na moja nikapata safarii huko vijijini kikazi...mtandao ulikua hata haushiki na ukishika ni kwa shida kweli kwelii. Kama wiki moja hivi nikawa sipo sana online.
Ila kabla ya hapo nikamuaga na kumuhaidi zawadi tele teleee
Ile nimerejea kama siku mbili tatu hivi, kakaja gheto kuchukua zawadi zake
So mapenz yetu yakaendelea taratibuuu
Mwezi wa kumi na mbili nikapata tena safarii vijiji vingine hukoo mitandao mibovu vile vile ambapo nilikaa kama wiki.
Dahh sasa awamu hii nimerudi naona mwenzangu kabadilika...nikamuita gheto eti hajiskii vizurii duhh
Nikimpigia simu eti inaitaa tu na message nazo hajibu.
Nikajua hapa kuna kitu tu.
Mara nikapokea sms kutoka namba mpya...eti usimtafute fulani(yani cowards hawa). Mhh na mim mwanaume nikadinda nikampigia akawa hapokei simu...aahh nikaachana nayo.
Sasa juzi kati hapo nimeamka asubuhii nikampigia simu yule mdada...eti kananiambia kana shidah duhhh.
Nikakomaa nae yaniii mpaka nikachelewa kazini siku hio.
Mwishowe kananiambia eti kamepata mimba...halafu kakaongezea etii hawezi kua na mimi tena.
Daahh moyo ulipasuka kidogo ila baadae nikatulia, nikaamka zangu kwenda mishe zangu.
Yanii mapenzii jamanii nishayafungia break...na ndio kwanza mwaka unaanza huo
Ndo hivyo tu wadau...
Sharing is caring jamaniii....
Anyway twende moja kwa moja ndani.
Mim ni kijana nipo mid 20s kwahio sio mzee sanaa.
Mwaka jana kwenye mwezi wa kumi hivi kuna jamaa tupo nae kazini pale akaja na kabinti. Mh kasichana kazuri zuri hivi, mim hapo hapo kakawa kameshika attention yangu.
Sasa baada ya kale kabinti kuondoka...kwenye maongezi yetu na jamaa nikachomekea kumuuliza jamaa kuhusu hako kabinti.
Jamaa akaniambia ni mdogo wake ila hawako related sanaaa...ila wanaitana kaka na dada. Halafu pia akaniambia kwamba kapo single.
Enhh mim kusikia hivyo nikapiga vigelegele...yani furaha sio ya dunia hii.
Bhas nikwambia kimatani akalete siku nyingine....maana mwenyewe nipo nipo tu.
Baada ya kama wiki hivi, mara paap kabinti kamekuja kazini kumcheki kaka ake.
Mmh bhas nikafanya juu chini mwishowe nikajikuta naongea nako halafu kakanipa na namba.
Bhasii mambo yakaanzia hapo sasaaa...mapenz moto moto, yani nilikua na muda sijaskia hivyo aiseee.
Bhasi nikagundua kumbe hakana kazi na kanaishi na shangazi yake. Shangazi yake ni nurse so mara nyingi yupo job...mara shift ya usiku mara mchana. So kanashinda peke yake home.
Mwezi wa kumi na moja nikapata safarii huko vijijini kikazi...mtandao ulikua hata haushiki na ukishika ni kwa shida kweli kwelii. Kama wiki moja hivi nikawa sipo sana online.
Ila kabla ya hapo nikamuaga na kumuhaidi zawadi tele teleee
Ile nimerejea kama siku mbili tatu hivi, kakaja gheto kuchukua zawadi zake
So mapenz yetu yakaendelea taratibuuu
Mwezi wa kumi na mbili nikapata tena safarii vijiji vingine hukoo mitandao mibovu vile vile ambapo nilikaa kama wiki.
Dahh sasa awamu hii nimerudi naona mwenzangu kabadilika...nikamuita gheto eti hajiskii vizurii duhh
Nikimpigia simu eti inaitaa tu na message nazo hajibu.
Nikajua hapa kuna kitu tu.
Mara nikapokea sms kutoka namba mpya...eti usimtafute fulani(yani cowards hawa). Mhh na mim mwanaume nikadinda nikampigia akawa hapokei simu...aahh nikaachana nayo.
Sasa juzi kati hapo nimeamka asubuhii nikampigia simu yule mdada...eti kananiambia kana shidah duhhh.
Nikakomaa nae yaniii mpaka nikachelewa kazini siku hio.
Mwishowe kananiambia eti kamepata mimba...halafu kakaongezea etii hawezi kua na mimi tena.
Daahh moyo ulipasuka kidogo ila baadae nikatulia, nikaamka zangu kwenda mishe zangu.
Yanii mapenzii jamanii nishayafungia break...na ndio kwanza mwaka unaanza huo
Ndo hivyo tu wadau...
Sharing is caring jamaniii....