SHERRIF ARPAIO
JF-Expert Member
- Aug 25, 2010
- 9,539
- 5,903
Who cares about babu. Tunachotaka ni kuwa CCM itoke, na iwapishe wengine wajaribu kuliendesha hili shamba. Miaka 50 imepita na hakuna jipya, sasa waje wengine nao tuone watafanya nini. Haijalishi chama wala itikadi, anybody but CCM