King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,603
- 68,509
Yule kijana aliyechafua hali ya hewa mwaka jana katika mchakato wa katiba mpya na akaropoka kwa lafudhi ya kipemba "yakhe nyie wabara hatuwapendi" lakini kwa mara ya tano namsikia akiongea lafudhi nzuri tu ya kibara kupitia ITV malumbano ya hoja!
Nawasilisha.
Nawasilisha.