Mmasai

Mmasai

NNYAMBALA

Member
Joined
Mar 3, 2011
Posts
85
Reaction score
12
Mmasai mmoja alikuwa anasafiri na Mkewe, usafiri ulikuwa wa shida lakini bahati nzuri likaja roli na Mmasai akawaomba wenye gari wantie mbele Mke wake na Yeye wamtie nyuma.
 
Alikuwa mmasai wa ukweli, aliposema mkewe atiwe mbele alimaanisha akae kule kwa Dereva na Yeye atiwe nyuma alimaanisha akae kule anakokaa Utingo.
 
Alikuwa mmasai wa ukweli, aliposema mkewe atiwe mbele alimaanisha akae kule kwa Dereva na Yeye atiwe nyuma alimaanisha akae kule anakokaa Utingo.

afudhi za wapemba n'tampa, n'tie, na zile ambazo bara huoneka kama matusi kwa masai hawatumii hizo.
 
afudhi za wapemba n'tampa, n'tie, na zile ambazo bara huoneka kama matusi kwa masai hawatumii hizo.

Mmasai angeweza kusema "Rafiki, weka/pandisa mama Yeyoo mbele!"
 
Back
Top Bottom