Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 33,467
- 65,790
- Thread starter
- #121
SijakuelwaMchaka wokui?
SijakuelwaMchaka wokui?
Siwezi hata kuthubutuUshapita uko sio
Ni hifadhini sioArusha
YapNi hifadhini sio
Kumbe mpishi ni wa kiume na anajua kutumia nazi?Unamenya hadi ndizi, we kuoa utakusikia tu 😂
Kijana ni mtoro sana wa vikao vyetuKumbe mpishi ni wa kiume na anajua kutumia na I?
Haha! mfano wewe ktk hao washindani yupo anaekupikia na anakupika kwa bed hapo utampa ushindi nani..??😀Tuzo ya mpishi bora ikienda kwa mwingine nitajua Maxence Melo nae anapokea rushwa 😃😃
Nitampa anaenipikiaHaha! mfano wewe ktk hao washindani yupo anaekupikia na anakupika kwa bed hapo utampa ushindi nani..??😀
ndo namna hiyo sasa...Nitampa anaenipikia
Wa haraka ndiyo upi...