Mlipuko wa mabomu ulijulikana kabla ila ni usembe tu

Akiri

JF-Expert Member
Sep 21, 2010
1,445
212
Wakuu nina ndugu yangu wa karibu ambaye ni mwanajeshi anasema taarifa za kulipuka kwa hayo mabomu zilijulikana tangu siku ya j'tatu . askari wa wadogo ambao ndiyo hasa walinzi wa hayo maghala waliona dalili za milipuko na wakatoa taarifa kwa wakubwa wao ,ambao nao wakatoa taarifa ngazi zinazofuata. akasema mpaka jumanne walikuwa bado hawajaambiwa ni nini cha kufanya na juma tano ikawa sikukuu hivyo walikuwa wanasubiri mpaka siku ya alhamisi ndipo waambiwe nini cha kufanya .

na pia kaniambia baada ya milipuko wanajeshi wengi wamekufa sababu waliambiwa waingie kwenye hayo maghara na wachukue hayo baadhi ya mabomu na wayaelekeze upande wa juu ili kuepusha madhara ya kulipua kambi nzima. japo hajaniambia ni idadi gani ya hao wapiganaji wetu waliopoteza maisha yao.

jamani urasimu huu mpaka lini ona unavyotugharimu mtu anapelekewa taarifa muhimu mara hayopo ofisini na taarifa zinabaki mezani kwake. kama habari hizi zinaukweli kazi tulionayo ni kubwa sana
 
Wakuu nina ndugu yangu wa karibu ambaye ni mwanajeshi anasema taarifa za kulipuka kwa hayo mabomu zilijulikana tangu siku ya j'tatu . askari wa wadogo ambao ndiyo hasa walinzi wa hayo maghala waliona dalili za milipuko na wakatoa taarifa kwa wakubwa wao ,ambao nao wakatoa taarifa ngazi zinazofuata. akasema mpaka jumanne walikuwa bado hawajaambiwa ni nini cha kufanya na juma tano ikawa sikukuu hivyo walikuwa wanasubiri mpaka siku ya alhamisi ndipo waambiwe nini cha kufanya .

na pia kaniambia baada ya milipuko wanajeshi wengi wamekufa sababu waliambiwa waingie kwenye hayo maghara na wachukue hayo baadhi ya mabomu na wayaelekeze upande wa juu ili kuepusha madhara ya kulipua kambi nzima. japo hajaniambia ni idadi gani ya hao wapiganaji wetu waliopoteza maisha yao.

jamani ulasimu huu mpaka lini uno unavyotugharimu mtu anapelekewa taarifa muhimu mara hayopo ofisini na taarifa zinabaki mezani kwake. kama habari hizi zinaukweli kazi tulionayo ni kubwa sana

Mkuu kama hii ni kweli basi tuna kazi ya ziada ya kufanya! Bila kusahau nakuomba usahihishe huu msemo USEMBE/ni UZEMBE halafu na hii pia ULASIMU/ni URASIMU!
 
Wakuu nina ndugu yangu wa karibu ambaye ni mwanajeshi anasema taarifa za kulipuka kwa hayo mabomu zilijulikana tangu siku ya j'tatu . askari wa wadogo ambao ndiyo hasa walinzi wa hayo maghala waliona dalili za milipuko na wakatoa taarifa kwa wakubwa wao ,ambao nao wakatoa taarifa ngazi zinazofuata. akasema mpaka jumanne walikuwa bado hawajaambiwa ni nini cha kufanya na juma tano ikawa sikukuu hivyo walikuwa wanasubiri mpaka siku ya alhamisi ndipo waambiwe nini cha kufanya .

na pia kaniambia baada ya milipuko wanajeshi wengi wamekufa sababu waliambiwa waingie kwenye hayo maghara na wachukue hayo baadhi ya mabomu na wayaelekeze upande wa juu ili kuepusha madhara ya kulipua kambi nzima. japo hajaniambia ni idadi gani ya hao wapiganaji wetu waliopoteza maisha yao.

jamani ulasimu huu mpaka lini uno unavyotugharimu mtu anapelekewa taarifa muhimu mara hayopo ofisini na taarifa zinabaki mezani kwake. kama habari hizi zinaukweli kazi tulionayo ni kubwa sana

Kama ni kweli, basi aliesababisha urasimu huo awajibishwe!
 
Mkuu kama hii ni kweli basi tuna kazi ya ziada ya kufanya! Bila kusahau nakuomba usahihishe huu msemo USEMBE/ni UZEMBE[/B] halafu na hii pia ULASIMU/ni URASIMU!

hayo maneno uliyonisahihisha mbona siyaoni?
 
Akiri soma heading yako halafu nenda kweye thread yako soma kwa umakini utajua ninini cha kusahihisha!
 
Mleta mada angekuwa amefanya kazi nzuri kama angeweka hapa nalaka ya hiyo taarifa. Naamini taarifa zinaenda kimaandishi na zinapigwa mhuru wa lini ilipokelewa, angeiweka hapa ili tuitumie kuwalazimisha waliosababusha mauaji wajiuzulu
 
nakala kweli utaipata eneo la jeshi kabla ya kufika unaweza kula mgwala tano na kuruka kichura mara hansini, hata waandishi ka saeed Kubenea hawezi fika, si ulisikia ya juzi hakuna mtu wa kujiudhuru, jeshi ni jeshi hakuna siasa wanasiasa ndio wanajihudhuru,
 
Back
Top Bottom