Mungi
JF Gold Member
- Sep 23, 2010
- 16,975
- 9,566
Lema: hili tukio limetusikitisha sana. Ni moja ya matukio ambayo tumeyasemea huko nyuma, kwamba vyama vya siasa baada ya kukosa umaarufu waliamua kugawa watu kwa siasa za udini. Haya ni matunda ya siasa chafu za kidini zinazoendelea kuenezwa na ccm na serikali yake. Redio maria wamekata matangazo ya moja kwa moja.
hapa kuna umuhimu wa kuanzisha media yetu tuwe tunapata makavu live
hapa kuna umuhimu wa kuanzisha media yetu tuwe tunapata makavu live