Mliowahi kuagiza Redio za JBL chapchap

Mliowahi kuagiza Redio za JBL chapchap

Wachina sio watu wazuri mwaka huu niliagizia headphones za Bose 700 nikajua ni og maana of zake zinatoka USA kuletewa ni famba la China wachina wame improve Sana mkuu kwa kutengeneza kitu feki ukikiona Kama og
 
JBL Clip 4 haizid laki na 60 kwa nje,nafkr huenda clip 4 weng hamuijui
Hivi unaelewa hata kwa nini umeniquote!? Wewe mwenyewe unakiri kuwa haizidi 160k na jamaa kasema anauziwa kwa 34k. Anyway sawa wengi wetu hatuijui
 
Hivi unailewa thread ya jamaa!? Au unataka kutuaminisha kuwa 34k ===150k unayotaja!?
 
Hivi unaelewa hata kwa nini umeniquote!? Wewe mwenyewe unakiri kuwa haizidi 160k na jamaa kasema anauziwa kwa 34k. Anyway sawa wengi wetu hatuijui
Niliona kama 340 ,my bad mkuu,basi jamaa akae kitalamu
 
Hivi unaelewa hata kwa nini umeniquote!? Wewe mwenyewe unakiri kuwa haizidi 160k na jamaa kasema anauziwa kwa 34k. Anyway sawa wengi wetu hatuijui
Uko sawa mkuu,niliona kama 340,000 kumbe ni 34k,hio ni pure crappy
 
Back
Top Bottom