Davet
JF-Expert Member
- Apr 5, 2013
- 42,369
- 205,759
Hahah! upo vizuri sana ila nasubiri madini yakoNakuzoom tu hapa
Hahah! upo vizuri sana ila nasubiri madini yakoNakuzoom tu hapa
Wapi huko na mimi nikajitafutie mzungu....Nenda kwenye dating sites kawatafute
Kumbe eeh! Halafu nasikia hawanaga undugulization wa mtoto wa wifi mzaa shangaziWajerumani hawajui kubembeleza usije ukajipeleka kule hahaha
mm mzunguWapi huko na mimi nikajitafutie mzungu....
wanaroho ngumu hao watu kama waRussia halafu wanatisha....ukiwaona tu na ilivyo mirefu asee hahaha uwe na moyoKumbe eeh! Halafu nasikia hawanaga undugulization wa mtoto wa wifi mzaa shangazi
km hiii.........View attachment 779191
View attachment 779224
Mliowahi ku-date/kuoa/kuolewa na wazungu let's share changamoto mlizokutana nazo.
Changamoto zao ni kama za partners weusi ama wao wana afadhali kidogo?
Hao hawanifai!wanaroho ngumu hao watu kama waRussia halafu wanatisha....ukiwaona tu na ilivyo mirefu asee hahaha uwe na moyo
Jamani mbona hukuniambia mapema? Unaona sasa mpaka ndugu yangu mumu kaniwahimm mzungu
Mmmh! Labda mzungu kichaaBasi mme wangu mzungu jamani nabembelezwa na kudeka juu Kama malkia
Kuna brother wangu aliwahi kuoa m Sweden. Changamoto aliyo ipata ni kwamba yule mzungu alifariki
[HASHTAG]#Ova[/HASHTAG]
Sio wote shemeji yangu yupo poa sana.wanaroho ngumu hao watu kama waRussia halafu wanatisha....ukiwaona tu na ilivyo mirefu asee hahaha uwe na moyo
Jamani mbona hukuniambia mapema? Unaona sasa mpaka ndugu yangu mumu kaniwahi
yes wapole wapo pia, hongereni sana.Sio wote shemeji yangu yupo poa sana.
Ninatamani kuolewa na mzungu, Napenda kubembelezwa