Mliotabiri kifo cha CHADEMA mpo hapo?

Mliotabiri kifo cha CHADEMA mpo hapo?

MAHANJU

JF-Expert Member
Joined
Aug 26, 2014
Posts
5,255
Reaction score
8,027
Kupitia operation UKUTA nimegundua yafuatayo.

1/Kumbe chadema kina nguvu kubwa nchi nzima,uthibitisho ni mazoezi ya polisi nchi nzima.

2/Kukamatwa kwa viongozi wa chama maeneo mbali mbali ni ishara kua hiki chama ni kikubwa na kina uongozi imara kila Kona.

3/Kupitia matamko ya vitisho vilivyotolewa na viongozi wa serikali maeneo mbali mbali ni ishara kua chama kipo imara.

4/Ubunifu wa hali ya juu wa viongozi wa CHADEMA kupelekea watu kukosa usingizi.

5/CHADEMA kwa sasa ni chama maarufu kuliko hata CCM kutokana na kutajwa sana katika maeneo mbali mbali ndani na nje ya nchi.

6/Umoja wa wanachama wa chadema na wafuasi wao ni mkubwa.

6/ Imedhirisha kua bila chama makini kama CHADEMA watawala wanaweza kujisahau.
 
Kwakweli huku kijijin hata hawaelew chedema kama bado ipo tanzania
 
Kupitia operation UKUTA nimegundua yafuatayo.

1/Kumbe chadema kina nguvu kubwa nchi nzima,uthibitisho ni mazoezi ya polisi nchi nzima.

2/Kukamatwa kwa viongozi wa chama maeneo mbali mbali ni ishara kua hiki chama ni kikubwa na kina uongozi imara kila Kona.

3/Kupitia matamko ya vitisho vilivyotolewa na viongozi wa serikali maeneo mbali mbali ni ishara kua chama kipo imara.

4/Ubunifu wa hali ya juu wa viongozi wa CHADEMA kupelekea watu kukosa usingizi.

5/CHADEMA kwa sasa ni chama maarufu kuliko hata CCM kutokana na kutajwa sana katika maeneo mbali mbali ndani na nje ya nchi.

6/Umoja wa wanachama wa chadema na wafuasi wao ni mkubwa.

6/ Imedhirisha kua bila chama makini kama CHADEMA watawala wanaweza kujisahau.
Namba 5 iko sahihi sana ! Kwa sasa polisi ni maarufu kuliko ccm .
 
Kupitia operation UKUTA nimegundua yafuatayo.

1/Kumbe chadema kina nguvu kubwa nchi nzima,uthibitisho ni mazoezi ya polisi nchi nzima.

2/Kukamatwa kwa viongozi wa chama maeneo mbali mbali ni ishara kua hiki chama ni kikubwa na kina uongozi imara kila Kona.

3/Kupitia matamko ya vitisho vilivyotolewa na viongozi wa serikali maeneo mbali mbali ni ishara kua chama kipo imara.

4/Ubunifu wa hali ya juu wa viongozi wa CHADEMA kupelekea watu kukosa usingizi.

5/CHADEMA kwa sasa ni chama maarufu kuliko hata CCM kutokana na kutajwa sana katika maeneo mbali mbali ndani na nje ya nchi.

6/Umoja wa wanachama wa chadema na wafuasi wao ni mkubwa.

6/ Imedhirisha kua bila chama makini kama CHADEMA watawala wanaweza kujisahau.

Hata ng'ombe anapochinjwa huwa ana nguvu sana, yaani inabidi afungwe na kudhibitiwa vibaya vibaya!
 
Chadema hakifi leo wala mtondo goooo kwa sisi tunaozunguka hadi vijijini ambako sasa wana umeme wa REA huwadanganyi kitu na wanakwambia kweli Chadema wana akili

Hili liko dhahiri. CHADEMA kwa sasa ndicho chama makini zaidi kwa Tanzania kuliko chama chochote. Hiki tunaweza kukilinganisha na chama cha Democracy Alliance(DA) ambacho ni chama pinzani kwa ANC kule Bondeni kwa marehemu mzee Madiba.
Juzi kwenye Uchaguzi wa Serikali xa Mitaa huko Bondeni, chama cha DA kimechukua karibu majiji yote muhimu ikiwemo Jo'Burg na Cape Town kama CHADEMA ilivyo kwa Dar-es-salaam na Arusha.
CCM kwa akili za kipuuzi wanazidi kuijenga CHADEMA. Mwenyekiti wao JPM anafikiri kuibana CHADEMA isifanye mikutano ya ndani na nje na wala isiandamane anaona ni mwarobaini wa kuimaliza CHADEMA. Lakini pia kwa akili ya Mwenyekiti huyu wa CCM anafikiri kamata kamata ya viongozi wa CHADEMA na kuanza kuwafuatilia kwenye Biashara zao anaona ni suluhisho la kuimaliza CHADEMA. Lazima ieleweke kwamba kwa maamuzi haya JPM amechemka na hii litamgharimu vibaya sana kwenye Uchaguzi Mkuu wa 2020 ni swala la muda tu.
 
Kupitia operation UKUTA nimegundua yafuatayo.

1/Kumbe chadema kina nguvu kubwa nchi nzima,uthibitisho ni mazoezi ya polisi nchi nzima.

2/Kukamatwa kwa viongozi wa chama maeneo mbali mbali ni ishara kua hiki chama ni kikubwa na kina uongozi imara kila Kona.

3/Kupitia matamko ya vitisho vilivyotolewa na viongozi wa serikali maeneo mbali mbali ni ishara kua chama kipo imara.

4/Ubunifu wa hali ya juu wa viongozi wa CHADEMA kupelekea watu kukosa usingizi.

5/CHADEMA kwa sasa ni chama maarufu kuliko hata CCM kutokana na kutajwa sana katika maeneo mbali mbali ndani na nje ya nchi.

6/Umoja wa wanachama wa chadema na wafuasi wao ni mkubwa.

6/ Imedhirisha kua bila chama makini kama CHADEMA watawala wanaweza kujisahau.
Hongera, fedha za vurugu yote hiyo mmepata wapi?
 
Kupitia operation UKUTA nimegundua yafuatayo.

1/Kumbe chadema kina nguvu kubwa nchi nzima,uthibitisho ni mazoezi ya polisi nchi nzima.

2/Kukamatwa kwa viongozi wa chama maeneo mbali mbali ni ishara kua hiki chama ni kikubwa na kina uongozi imara kila Kona.

3/Kupitia matamko ya vitisho vilivyotolewa na viongozi wa serikali maeneo mbali mbali ni ishara kua chama kipo imara.

4/Ubunifu wa hali ya juu wa viongozi wa CHADEMA kupelekea watu kukosa usingizi.

5/CHADEMA kwa sasa ni chama maarufu kuliko hata CCM kutokana na kutajwa sana katika maeneo mbali mbali ndani na nje ya nchi.

6/Umoja wa wanachama wa chadema na wafuasi wao ni mkubwa.

6/ Imedhirisha kua bila chama makini kama CHADEMA watawala wanaweza kujisahau.
You justify your failure by excuses. So pathetic. What was done by the government was to deal with a deadly virus that CDM wanted to propagate as a way of rejuvenating itself but in essence, CDM is damn dead. What you want people to believe as a show of strength are just the last kicks of a dying horse.
 
You justify your failure by excuses. So pathetic. What was done by the government was to deal with a deadly virus that CDM wanted to propagate as a way of rejuvenating itself but in essence, CDM is damn dead. What you want people to believe as a show of strength are just the last kicks of a dying horse.
Hey guy! Who told you so? You are just try to hide the known fact, but message sent to the targeted mean and we hv seen its impact. Note that,1st Oct is around the margin.
 
Back
Top Bottom