MAHANJU
JF-Expert Member
- Aug 26, 2014
- 5,255
- 8,027
Kupitia operation UKUTA nimegundua yafuatayo.
1/Kumbe chadema kina nguvu kubwa nchi nzima,uthibitisho ni mazoezi ya polisi nchi nzima.
2/Kukamatwa kwa viongozi wa chama maeneo mbali mbali ni ishara kua hiki chama ni kikubwa na kina uongozi imara kila Kona.
3/Kupitia matamko ya vitisho vilivyotolewa na viongozi wa serikali maeneo mbali mbali ni ishara kua chama kipo imara.
4/Ubunifu wa hali ya juu wa viongozi wa CHADEMA kupelekea watu kukosa usingizi.
5/CHADEMA kwa sasa ni chama maarufu kuliko hata CCM kutokana na kutajwa sana katika maeneo mbali mbali ndani na nje ya nchi.
6/Umoja wa wanachama wa chadema na wafuasi wao ni mkubwa.
6/ Imedhirisha kua bila chama makini kama CHADEMA watawala wanaweza kujisahau.
1/Kumbe chadema kina nguvu kubwa nchi nzima,uthibitisho ni mazoezi ya polisi nchi nzima.
2/Kukamatwa kwa viongozi wa chama maeneo mbali mbali ni ishara kua hiki chama ni kikubwa na kina uongozi imara kila Kona.
3/Kupitia matamko ya vitisho vilivyotolewa na viongozi wa serikali maeneo mbali mbali ni ishara kua chama kipo imara.
4/Ubunifu wa hali ya juu wa viongozi wa CHADEMA kupelekea watu kukosa usingizi.
5/CHADEMA kwa sasa ni chama maarufu kuliko hata CCM kutokana na kutajwa sana katika maeneo mbali mbali ndani na nje ya nchi.
6/Umoja wa wanachama wa chadema na wafuasi wao ni mkubwa.
6/ Imedhirisha kua bila chama makini kama CHADEMA watawala wanaweza kujisahau.