Mliosema Profesa Assad alikuwa na mali nyingi akiwa UDSM mlituongopea. Angalia akitumia gari Toyota IST

Hii yako ni poverty mentality. Sio kila tajiri anapenda show off. Warren Buffett ana utajiri wa USD 85 billion lakini anaishi kwenye nyumba yenye thamani ya USD 35,000. Mark Zuckerberg ana utajili wa USD 57 billion lakini anaendesha Volkswagen GTI yenye thamani ya USD 30,000.
Watu wana mitazamo hasi sana. Yule jamaa kanifundisha,yupo very simple ila upstairs(kichwani) yuko vizuri balaa. Hawezi kufa njaa kamwe,kinachohuzunisha ni product yetu ila ataenda kunufaisha nchi nyingine kama akina Beno Ndulu.
 
Mkuu wewe unamuelewa sana kama mimi. Ni tajiri mno but ukweli hana show off na mkewe pia ni down to earth. Mkewe mtoto wa Professor tena aliyezaliwa nje miaka hiyo. Nimeshangaa mkuu watu wanapima matajiri kwa magari wakati wapo wanaokodisha magari yard ili wakapigie mzinga. Binafsi nina magari mazuri but kuna siku naendesha RAV4 tena old model ya 1999. After all sina hobby za magari hivyo huwezi kupima utajiri wangu kwa model za magari yangu. Ukitaka utajiri wangu nenda bank ukashuhudie FDR ZANGU, Makampuni upate huko shares ZANGU na properties ZANGU. Do not judge me with my physical appearance. Utajidanganya.

Tujifunze kuwa matajiri tusiotikisa madebe.
Sentensi zako za mwisho ni za kujimwambafy..., mbona kama umeshow off!!!
 
Assad kaenda kukabidhi ofisi na IST gari mtumba ambayo thamani yake haifiki hata milioni kumi

Gari yenyewe hiyo hapo nyekundu kwenye screen shot

Kuna watu humu walisema eti MJ Assad alikuwa na magari ya kifahari kipindi anafundisha UDSM

NB: app imegoma kuupload
Dah. Yaani kupanda ist ndio udhani hana kitu?
Acha kuishusha hadhi ist kiasi hicho.
 
Hakuna watu wenye uwezo mdogo kufikiri kama mtoa mada.
Yani umejiaibisha sana.
Aina ya gari ndio maisha mazuri kweli!!!!?
Aisee nimekucheka sana.
 
Kwa serikali hii usishangae endapo angeenda kukabidhi ofisi na gari la bei mbaya huenda angeambiwa aliache hapo hapo.Hata kufunguliwa mashitaka ya uhujumu uchumi, kutakatisha pesa n.k,hivyo Assad aliyajua yote hayo akaamua kujiongeza.
 
Assadi sio maskini,amefundisha huko nje ya nchi miaka ya kutosha,ana firm yake Assad and associates,amefanya kazi na mashirika/organisation ya nje ya nchi mengi sana(angalia CV yake),ame-serve bodi mbalimbali hapa Tz,amekua CAG wa Tz kwa miaka 5.

Magari anayo,hata miaka ileeee alikua alikua na benz wanafunzi wa UD wanajua hilo,so kutembea na IST hakumfanyi Assad kua maskini na kua mali nyingi hakumfanyi kua alizipata isivyo halali.

Sina hakika na uliloandika, nadhani ni walewale watanzania waropokaji, Assad associates hana share
 
Acheni Mzee Apumzike Amemaliza Salama Utumishi Wa Umma
Kwa Salary Scale Yake Anaweza Kuwa Tajiri Maana Siyo Dhambi. Tuuchukie Umasikini!!!!
 
Pole sana. Akiwa UDSM lecturer Accounting miaka ya 90s alikuwa na Benz. Na kwa taarifa yako anayo firm kubwa mno ya Accounts na tax. Anafanya project za mahesabu kitaifa na kimataifa. Mkewe mwenyewe ni mtoto wa prominent Professor. Hiyo gari kaja nayo kuwakomesha watu kama nyie. He is among the wealthiest people but down to Earth. Hata maisha yake na familia ni private sana.
 
Assad kaenda kukabidhi ofisi na IST gari mtumba ambayo thamani yake haifiki hata milioni kumi

Gari yenyewe hiyo hapo nyekundu kwenye screen shot

Kuna watu humu walisema eti MJ Assad alikuwa na magari ya kifahari kipindi anafundisha UDSM

NB: app imegoma kuupload
Yan mkuu kumwona tu anatembelea ist umeshajaji utajiri wake? Maprofessor huwa wana maisha ya kujiamulia wenyewe, huwa wameridhika, anaweza akatembelea ist na huku nyumban akawa amepark land cruiser, range, bmw nk. Hayo ni maonesho tu mbele ya vyombo vya habari ili aonekane mtu wa kawaida.
 
Mkuu wewe unamuelewa sana kama mimi. Ni tajiri mno but ukweli hana show off na mkewe pia ni down to earth. Mkewe mtoto wa Professor tena aliyezaliwa nje miaka hiyo. Nimeshangaa mkuu watu wanapima matajiri kwa magari wakati wapo wanaokodisha magari yard ili wakapigie mzinga. Binafsi nina magari mazuri but kuna siku naendesha RAV4 tena old model ya 1999. After all sina hobby za magari hivyo huwezi kupima utajiri wangu kwa model za magari yangu. Ukitaka utajiri wangu nenda bank ukashuhudie FDR ZANGU, Makampuni upate huko shares ZANGU na properties ZANGU. Do not judge me with my physical appearance. Utajidanganya.

Tujifunze kuwa matajiri tusiotikisa madebe.
 
Hii yako ni poverty mentality. Sio kila tajiri anapenda show off. Warren Buffett ana utajiri wa USD 85 billion lakini anaishi kwenye nyumba yenye thamani ya USD 35,000. Mark Zuckerberg ana utajili wa USD 57 billion lakini anaendesha Volkswagen GTI yenye thamani ya USD 30,000.
Waafrika na waarabu akili zetu ni kushindana vitu visivyo vya msingi. Ndio maana wazungu utucheka sana, kwa kushindwa kuwa na vitu vya kurahisisha maisha. Na ndio maana sisi waafrika unaweza kuta mtu ana ng'ombe 500 na uku ana pa kulala na nguo ana vaaa madabwada.
 
Hii yako ni poverty mentality. Sio kila tajiri anapenda show off. Warren Buffett ana utajiri wa USD 85 billion lakini anaishi kwenye nyumba yenye thamani ya USD 35,000. Mark Zuckerberg ana utajili wa USD 57 billion lakini anaendesha Volkswagen GTI yenye thamani ya USD 30,000.
Mack Zuckeberg ana vaa nguo za aina moja na ana pesa, ingekuwa Africa ingekuwa ni ishu
 
Maskini wanapenda kuonekana Matajiri! Matajiri wa ukweli hawababaishwi na suala zima la muonekano ili kuridhisha watu! Haya mambo ya kupenda na kuthamini vitu inategemea mtu na mtu!!
Ukienda kwenye nchi za Watu unaweza kuta Prof from best universities anaendesha gari ambayo thamani yake ni ndogo sana, lakini mwanafunzi wake anaendesha magari ya kifahari sana. Vile vile kwenye kampuni kubwa duniani unaweza kuta chief executive officer or managing director anaendesha gari ya kawaida lakini mfagiaji anaendesha gari nzuri sana kuliko ya chief executive director. Kwa Tanzania kwa sababu ya umasikini wetu tunaona gari kama status quo especially gari nzuri ndiyo indicator ya mtu tajiri. Bado tunasafari ndefu sana, tuko kwenye nyumba za nyasi.
 
Back
Top Bottom