Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 118,240
- 219,440
Huyu unayemuona pichani anaitwa Musa Assad , huyu mtu ni Profesa na ndio CAG wa Tanzania kwa sasa , hakujali cheo alicho nacho akaamua kuwa na IST , gari ambayo baadhi ya Vijana wanaojiita wazalendo wanaona ni ya kuhonga tu .