Mliosema hang'oki mbona kang'oka?

Mliosema hang'oki mbona kang'oka?

wakusoma

JF-Expert Member
Joined
Feb 25, 2008
Posts
1,084
Reaction score
1,065
Sisi tunaijua fitna banaaa..unatuletea usomi mbuzi wako unatukana tukana watu eti wakatengeneze juice si kuchimba gas!! Mtu mwenyewe mwepesiiii Ka ubua!!fitina huwezi...tumepiga fitnaa..tumekamulia na ndimu...umebanaaaa..ukaachia mara waya!"!! Mtoto mdogo sana we we..kawaulize kina masilingi.na bado tutahakikisha unakuwa konda mjini hapa
 
Sisi tunaijua fitna banaaa..unatuletea usomi mbuzi wako unatukana tukana watu eti wakatengeneze juice si kuchimba gas!! Mtu mwenyewe mwepesiiii Ka ubua!!fitina huwezi...tumepiga fitnaa..tumekamulia na ndimu...umebanaaaa..ukaachia mara waya!"!! Mtoto mdogo sana we we..kawaulize kina masilingi.na bado tutahakikisha unakuwa konda mjini hapa

Mkuu, naona hii imekaa personal zaidi, mulishawahi kuchukuliana madem nini? Anyway, siasa za Bongo ni ngumu sana
 
Sisi tunaijua fitna banaaa..unatuletea usomi mbuzi wako unatukana tukana watu eti wakatengeneze juice si kuchimba gas!! Mtu mwenyewe mwepesiiii Ka ubua!!fitina huwezi...tumepiga fitnaa..tumekamulia na ndimu...umebanaaaa..ukaachia mara waya!"!! Mtoto mdogo sana we we..kawaulize kina masilingi.na bado tutahakikisha unakuwa konda mjini hapa

umetisha mkuuu
 
Nawapa pole sana vibaraka na mahawara za prof muongoo..mwizi. Dalali mkuu.mwizi wetu kaufyata...kashindwa kuweka palinge na mwenyekiti wetu.na bado tutahakikisha anafanya kazi ya kuuza mkaa mjini hapa.
 
Mkuu, naona hii imekaa personal zaidi, mulishawahi kuchukuliana madem nini? Anyway, siasa za Bongo ni ngumu sana

Hana lolote hawezi fitna..anatia tia huruma..akafie mbele
 
Sisi tunaijua fitna banaaa..unatuletea usomi mbuzi wako unatukana tukana watu eti wakatengeneze juice si kuchimba gas!! Mtu mwenyewe mwepesiiii Ka ubua!!fitina huwezi...tumepiga fitnaa..tumekamulia na ndimu...umebanaaaa..ukaachia mara waya!"!! Mtoto mdogo sana we we..kawaulize kina masilingi.na bado tutahakikisha unakuwa konda mjini hapa

Hii mbona kama ngonjera?? Kwani ni fitna au makosa yanasababisha kuwajibishwa? Ni kana kwamba madudu aliyofanya si kitu bali fitna ndizo zilizoamua yaliyotokea. Mambo mazito yanachukuliwa kiulaini laini. Kwa namna hii tutafika kweli?
 
Swali gumu hili labda tumuulize Prof,Dr,Ndugu,Raisi Jakaya atujibu sijui za umma au iptl.

huku kijijin watu walimkariri rais kuwa si za umma sasa iv wamechanganyikiwa kwa sabab watu wanafikishwa mahakamani na wanaulizwa na watani wao chadema je za umma au za iptl? ni shida
 
Hana lolote hawezi fitna..anatia tia huruma..akafie mbele
Kuondoka kwa prof muhongo hakumsaidii huyo mkuu wenu wa fitna kupata vitalu vya kufanyia udalali. Hana pesa za kuwekeza kwenye exploration ya gesi na mafuta. Kama anaweza kuwatapeli hata wafanyakazi wake mishahara ataweza wapi kutumia pesa nyingi kwenye gesi bila uhakika wa kupata chochote?
 
Kuondoka kwa prof muhongo hakumsaidii huyo mkuu wenu wa fitna kupata vitalu vya kufanyia udalali. Hana pesa za kuwekeza kwenye exploration ya gesi na mafuta. Kama anaweza kuwatapeli hata wafanyakazi wake mishahara ataweza wapi kutumia pesa nyingi kwenye gesi bila uhakika wa kupata chochote?

Kama unasema unasema hana hela mkabidhi mkeo ili apewe fuko la pesa uone kama hajakukana Mara Tatu!!hela ipo ..anauwezo hata wa kukuweka we we kimada!!!ukala ukanywa..
UKanya maisha yako yoteee!!!bwana ako kapigwa chin unaliaaaaa
 
Back
Top Bottom