englibertm
JF-Expert Member
- May 1, 2009
- 9,252
- 6,209
Daah,Hii ktu mali sana,ukiwa jeshini yaani ina matumizi tofautitofauti,
kwa wasio fahamu matumizi yake,; Ukiwa Jeshini mii nilikuwa natumia kwa anzia asubh mpaka nalala.
Asubuhi nilikuwa natia humo maji yakusutua mdomo,kupiga mswaki na kunawa uso,kwenye kuoga naingia nayo bafuni nachotea maji kwenye ndoo najimwagia,nikimaliza nnacho kama kawa messin ndo kazi yake ubwabwa,mumomumo,manyamanyama humohumo,mchicha humohumo mixer,.
Baada ya shughuli za kutwa nzima jion naweka mkaa wenye moto ili ni pige pasi gwanda,wakati wa kulala naiongezea manguonguo kisha natumia kama mto wa kulalia. kweli jkt raha saaaana.
Daah,Hii ktu mali sana,ukiwa jeshini yaani ina matumizi tofautitofauti,
kwa wasio fahamu matumizi yake,; Ukiwa Jeshini mii nilikuwa natumia kwa anzia asubh mpaka nalala.
Asubuhi nilikuwa natia humo maji yakusutua mdomo,kupiga mswaki na kunawa uso,kwenye kuoga naingia nayo bafuni nachotea maji kwenye ndoo najimwagia,nikimaliza nnacho kama kawa messin ndo kazi yake ubwabwa,mumomumo,manyamanyama humohumo,mchicha humohumo mixer,.
Baada ya shughuli za kutwa nzima jion naweka mkaa wenye moto ili ni pige pasi gwanda,wakati wa kulala naiongezea manguonguo kisha natumia kama mto wa kulalia. kweli jkt raha saaaana.