Mliopata mialiko leo njooni tujadiline

Mliopata mialiko leo njooni tujadiline

Ndugu zetu wachoyo sana hadi muda huu bila bila.

Pamoja na kujianda vyakutosha kununua pilipili,ndizi za kuiva sijaambulia mwaliko.

Nikaona isiwe taabu nika nunua kanzu,bakashia na makobazi lakini wapi jamaa wamegoma.
 
Back
Top Bottom