Mliooa mlipataje wake zenu?

Ukiwa Husband material ni rahisi kupata Wife material.

Usipokuwa Husband Material huwezi pata Wife material mana hakuna kilicho bora kikataka kuchangamana na kibovu.
Naomba nikuoe
 
Unaanza kwa nyumba za Ibada kupiga maombi ya nguvu ukiona hailipi unahamia " mlingotini " pande za Tanga na Bagamoyo kwa kufanya " ndumbaism + miziziology ".
Ukichagua sana au ukisubiri bikira ndio uoe hautapata na utasubiri sana ..unaweza kufa na utamu wako kiongozi
 
KWELI hii ni changamoto Moja wapo kwa vijana utasaka pesa / utajir na utaupata!!! kimbembe MWENZA utae ish nae,,,,,, naiv umetafta kwa maumiv Makali utajir bas asilimia kubwa wengi wao hutakaga matawi size yao au izidi na wala isipungue matokeo yake unajikuta unaangukia PUA...... chamsingi usijikweze, usiwadharau wa chin yako, ishi maisha / hali ya kawaida,, usiangalie walio kwisha kung'aa hao wanao walio wang'alisha japo si wote, shiriki ibada na maombi yako muelekezee Mungu nae ATAKUSIKIA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…