Mliooa mlipata wapi wake zenu?

jamani mr rocky umenena, mtoa mada fuata ushauri wa mr rocky,he z gud kwa kweli anjua dhamani ya mke! na njia ya kufanya ili kumpata mke na ujue sio wote ni mcharuko1
 
Ila kweli mkuu wanawake wengi nimcharuko lakini siyo wote wewe jitaidi kutafuta kanisani kwako na pia umuombe mungu

kumuomba mungu ndio, ila wa kanisani nao siku hizi vimeo tu, haswa kwaya ya vijana ndo mastar wao kuwang'oa
 
kumuomba mungu ndio, ila wa kanisani nao siku hizi vimeo tu, haswa kwaya ya vijana ndo mastar wao kuwang'oa
Kwani nani kakuambia ukamtafute wa kanisani
Umeambiwa muombe Mungu akupe mke mwema na akupe mke unayemtaka wewe kwa vigezo vyako na sio kwenda kutafuta mwanakwaya wa kanisani
 
nyie ndo walee mnaotafuta wanawake wenye sijui wezere kubwa,ooo awe na sura nzuri,pua ndefu,mguu wa bia,macho ya kulegea,mrefu,awe na pozi.......badala ya kutafuta wenye sifa za kumcha mungu,,ndo mana matokeo yake mnaishia kupata micharuko

asa unadhani ntampenda vipi bila kumtamani kwanza? mwenyewe mbaya, mama watoto nae akiwa kapinda si adhabu kwa watoto
 
nielemishe mkuu

Inawezekana tunakushauri tuu hapa ila kumbe huna mpango wala effort zozote za kumtafuta huyo mke.
Umefanya juhudi gani kutafuta mke
Umejiwekea lengo gani na kwa muda gani kumpata huyo mke
Na je vigezo gani umeweka kumpata huyo mke
Na je unatafuta mke wa kuoa mwaka huu au mwakani au baada ya miaka mingapi
 
Huna nia ya kuowa. Wanawake wote waliopo duniani!!!!!! Mbona mimi wananifwata wenyewe niwaowe$$$
 
Sa unaguna kwanini sitoa point wapi kuna kosa, au kusikia malaika ndo imekuwa ajabu...wewe unaelewa nini mana ya malaika? malaika sio lazima umuone au mungu unadhnai utamuona? kama unadhani utamuona mungu ujuwe unaota.

Point yangu ni huwezi kuoa bila ya mungu kupenda....na FYI malaika kila binadamu anatembea nao lakini kwa kuwa wengine mko zero hamjui hayo.
 
ahsante mdada!!
 

hapo kwenye kabila mi sijaweka kigezo.. inawezekana imekua too large eeh? embu nipe makabila mazuri basi nipunguze uwanja.. ila shukrani kwa ushauri, nmeupenda na story yako ni nzuri, ila tu usije rudia asili badae ukamletea magonjwa mwana wa watu
 
Wapo wengi sana tena wa kumwaga.....sema tu wewe ndo umeishiwa ujanja...Omba tu wataalamu wakusaidi ku-recharge!!

Uko tayari nikugawie mmoja wa wale nilionao??

Nataka kudispose mmoja ili nitafute mupya!!

Babu DC!!

kaazii kwelikweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…