Mliooa maafande mna kazi kweli kweli!

Mliooa maafande mna kazi kweli kweli!

excel

JF-Expert Member
Joined
Jul 8, 2011
Posts
22,434
Reaction score
17,862
kwa afande kama huyu.. mmh! hali ya familia sijui itakuwaje!

Jiandae kwa competition tu kutoka kwa bosi wako tu!

nahisi principle ya ''ndio afande!'' itatuumizia wake zetu maaskari!

pretty+cop.jpg
 
Mkuu tunaweza kuona na picha ya boss wake ili tucalculate risk kwa mwenye mke?


pretty+cop.jpg


hivi utajisikiaje huyu jamaa yuko na mkeo high table!!!

halafu anamshika tu mkono na kumpa masifa sifa ya ajabu ajabu huku wakichati,

na kuchekeana tu! we hapo ndo uko chini kwa walalahoi unaangalia tu!

duh! hapana!

sometimes ni risk sana kuwa na mke kama huyu!.. ukiuliza anakwambia eti ni masuala ya kiusalama tu!
 
Wivu wa kijinga ndio unawasumbua. Kila Taasisi ina maadili yake, ni kosa kubwa kwa senior officer kufanya mapenzi na surbonate wake ikidhihirika ni mashtaka. Lakini je Idara zingine mbona ni hivo hivo, Secretary na Boss?? kama yanavyotokea kwenye nyanja za siasa, maofisi ya kiraia na hata hapo inawezekana hususan wote wanapokosa maadili. Tusiwahukumu askari tu hata idara zingine
 
Kama bosi mwenyewe ndo huyu bila bila,kwanza jeshini hakuna kushikana mikono, ni mwendo wa saluti tuu
 
Ukisema hivyo utakuwa hujatenda haki kwani hata kwenye maofisi mengine kuna warembo kama hao. Tabu ni tabia ya mtu husika maana kwenye uaminifu haiangalii sura wala umbile
 
Wivu wa kijinga ndio unawasumbua. Kila Taasisi ina maadili yake, ni kosa kubwa kwa senior officer kufanya mapenzi na surbonate wake ikidhihirika ni mashtaka. Lakini je Idara zingine mbona ni hivo hivo, Secretary na Boss?? kama yanavyotokea kwenye nyanja za siasa, maofisi ya kiraia na hata hapo inawezekana hususan wote wanapokosa maadili. Tusiwahukumu askari tu hata idara zingine

Mkuu Fugwe huna haja ya kubisha, haya mambo apo sana na hata huko Nchni Marekani tunakosema wako juu kwa utawala wa sheria bado jambo hili linawatatiza sana, hebu fuatilia hii habari ambayo niliwahi kuiweka hapa JF wakati fulani.........

https://www.jamiiforums.com/mahusia...wa-kubakwa-ndani-ya-jeshi-la-marekani%85.html
 
Last edited by a moderator:
Mambo ya kawaida sana jeshini, mwanamke kuwa asusa kwa maaskari wa vyeo vya juu.

(Samahani kwa wale ambao wazazi wenu wa kike au ndugu zenu wa kike ni maaskari au wanajeshi).
 
Ubinadamu unatusumbua sana .....!!!!!!!
 
nadhani tabia binafsi ya mtu mbona maofisini kuna mademu wakali kuliko huyo lkn hawajirahisi kwa mabosi wao
 
Wivu wa kijinga ndio unawasumbua. Kila Taasisi ina maadili yake, ni kosa kubwa kwa senior officer kufanya mapenzi na surbonate wake ikidhihirika ni mashtaka. Lakini je Idara zingine mbona ni hivo hivo, Secretary na Boss?? kama yanavyotokea kwenye nyanja za siasa, maofisi ya kiraia na hata hapo inawezekana hususan wote wanapokosa maadili. Tusiwahukumu askari tu hata idara zingine
Brother pole kwa mada hii. lakini hongera kwa kuwa na mke askari.
 
Back
Top Bottom