Waliopanda mabasi ya njano kama mpo humu msaada tafadhali lugha imenipita pembenimkuu hebu nipe taarifa zaidi maana natafute mke pengine nitaenda huko yaani are you joking or what? you mean their you know what when doing you know what releases huge amount of that liquid??? mkuu nielimise pls, natanguliza shukrani
Waliopanda mabasi ya njano kama mpo humu msaada tafadhali lugha imenipita pembeni
Ni kutothamini vya ndaniYaani pisi zote izi za Bongo nikaoe nje?
Umekaa rwanda miaka mingapi?Kwanza lazima uwe na vitanda viwili kimoja cha game kingine cha kulalalia maana wana mwaga maji kama kama mto malagarasi
Pili kwao mwanamke anasikilizwa sana hafokewi wala kupigwa mara nying huwa wanajisahau na kutaka hii tabia ku apply nje ya kwao
Tatu wanaamini katika kukuza kizazi chao pure so hata kama akizaa na mtu sio mnyarwanda lazima atazaa na mnyarwanda mwenzie hata mtoto mmoja
Nne wazuri wanapenda bata na wanatupenda sana wa TZ yaani mtz ukienda Rwanda utongozi mara mbili
Nipo Rwanda mwaka wa 6 huuumekaa rwanda miaka mingapi?
Uvuga Ikinyarwanda ?Nipo Rwanda mwaka wa 6 huu
Gache gache mvandimweUvuga Ikinyarwanda ?
Kawaulize Wafipa...Kulingana na story kua nyingi mara hili mara lile kuuhusu ku-date wanyarwanda!
Mara mkizaa watoto unapachikiwa mtoto wa katikati na ndugu yake mkeo! Mara wanakimbia na watoto! Yaan vulu vulu
Wengine wanadai ni waaminifu sanaa n.k Nimeona niombe experience.
Eehh
KAMA UMEOA AU UNADATE MNYARWANDA MAMBO YAKO!
View attachment 1830798
Kawaulize Wafipa...
Wapi interahamwe?
Mapanga shaaaaaaah shaaaaah.
Jaman nimecheka daa@tajiri tumbo kubwa Kulikua na haja ya kutumia kingereza!!??
Ona sasaunavoaibika
Yatatu ungesema wao ni makahaba.Kwanza lazima uwe na vitanda viwili kimoja cha game kingine cha kulalalia maana wana mwaga maji kama kama mto malagarasi
Pili kwao mwanamke anasikilizwa sana hafokewi wala kupigwa mara nying huwa wanajisahau na kutaka hii tabia ku apply nje ya kwao
Tatu wanaamini katika kukuza kizazi chao pure so hata kama akizaa na mtu sio mnyarwanda lazima atazaa na mnyarwanda mwenzie hata mtoto mmoja
Nne wazuri wanapenda bata na wanatupenda sana wa TZ yaani mtz ukienda Rwanda utongozi mara mbili
🤣🤣🤣🤣Huenda alkua very excited akawa ana type haraka haraka nimecheka Sana hii comment ety ona unavyoaibika@tajiri tumbo kubwa Kulikua na haja ya kutumia kingereza!!??
Ona sasaunavoaibika
mkuu hebu nipe taarifa zaidi maana natafute mke pengine nitaenda huko yaani are you joking or what? you mean their you know what when doing you know what releases huge amount of that liquid??? mkuu nielimise pls, natanguliza shukra
MamUnataka kumaanisha....
Mapanga shaa,tmk wanaume vs halisi.Unataka kumaanisha....
Chukua Mrundi, utanishukuru baadae mkuu.