Kurunzi
JF-Expert Member
- Jul 31, 2009
- 9,277
- 9,912
kama sijakosea jumatatu saa tisa mchana
Nashukuru nitakikosa kwani nitakuwa natafuta riziki mida hiyo.
kama sijakosea jumatatu saa tisa mchana
Nahisi hiyo nafasi aliyonayo sio saizi yake. Tumrudishe alikokuwa mwanzo
Ccm is a Illegal political party in Tanzania, since the starting of multiparty system.
Because Ccm he could not regester to the new system which who where supposed
to do so, and that answer from Tendwa "Because it was already there"
That's was a wrong answer to the public, and my answer to Tendwa is
" Because it was already there in the one party system "
and not in the multiparty system.
Tatizo la Tendwa ni kuwa ingawa nafasi hiyo ya Msajili anapaswa kutekeleza majukumu yake akiwa huru, badala yake anaabuse hiyo nafasi kwa kujiegemeza kwa magamba, miongoni ya grave mistakes alizofanya akiwa registrar wa vyama ni hilo la kumkataza Lema asiende kwenye kampeni Arumeru, kwa madai kuwa Wazee wa huko watamdhuru, sasa amepata aibu ya mwaka, kwa kuwa Lema alikuwepo Arumeru fulltime, na hakupata madhara yoyote!!
Je, inawezekana CCM haina uhalali kisheria?