Mliomnyima kitalu cha kuchimba dhahabu Kigwangala mnasababisha atokwe na mapovu sana... sio sawa..

Mliomnyima kitalu cha kuchimba dhahabu Kigwangala mnasababisha atokwe na mapovu sana... sio sawa..

MamaSamia2025

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2012
Posts
19,292
Reaction score
39,975
Kigwangalah should learn to MOVE ON... He is not the only citizen who deserves to be a minister. Hata Lucas Mwashambwa anaweza kuteuliwa na rais kuwa mbunge na akawa waziri siku hiyohiyo. Ile ni nafasi ya kisiasa tu haina uzito kama ukatibu mkuu wa wizara. Huyu jomba kila siku anatoa kilio kwa kutokuwa waziri. Leo katoa mapovu hatari kwa sababu ya kunyimwa kitalu cha uchimbaji madini huko msitu wa Kigosi. Ila hao wagawa vitalu ni makauzu kinyama...😄😄. Yaani katika vitalu 3000 ikashindikana kummegea kimoja Kigwangala?


View: https://www.instagram.com/p/DKCGZ-OIiw0/?igsh=MXg1Nm0zZTdtZGltag==
 
Mtu alikuwa waziri leo anasema yeye ni mchimbaji mdogo..ingawa lawama zake ni halali, si sawa na haikuwa sahihi kushusha hadhi hifadhi ya kigosi iliyopandishwa hadhi miaka minne nyuma..ni dhahiri kabisa pasina shaka ndani ya serikali na hasa tiss kuna watu wabaya wenye tamaa ya uporaji rasilimali za nchi, walishaingia humo hifadhini kigosi siku nyingi na kwa kupunguza kelele wakashawishi eneo dogo litangazwe vitalu watu wengine waombe..wala hakuna dhahabu huko walikotangaza..inajulikana wazi baadhi ya wastaafu(high ranking officials wa jeshi) familia zao wanachimba dhahabu hifadhi ya kigosi..nje ya maeneo yaliyotangazwa..hii ni homework kwa Rais mpya kurudisha eneo hili la kigosi ili liendelee kuwa hifadhi na walioshawishi uporaji kwa mgongo wa uchimbaji mdogo wachukuliwe hatua inavyopaswa!
 
Kigwangwala hata msikitini hupenda kukaa mbele ili ujulikane kwamba upo
 
Back
Top Bottom