Mlioko DAR mnawezaje kuishi huko

Yawezekana pisi kali hutegemea na maeneo. Nilitoka Magufuli terminal , straight to Mnazi mmoja, then from Mnazimmoja straight to Magufuli terminal.



Sent from my Redmi 8A using JamiiForums mobile app
Kuna Barabara inaitwa International road,je umeona wanawake wanavyosukuma magari kuelekea mjini kati.Kwa Dsm bado hujafika Rudi tema mara tatu Tena unde Tegeta,mwenge,Kinondoni ,Kimara,Mbezi beach mitaa ya ngedere, Airport,Tabata na Kinyerezi na maeneo yake ndo uje na ushauri.
 
Maisha yao ni haya hapa 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220929-194340.png
    123.6 KB · Views: 18
Mkuu huku Ndio Tanzania
Huku ndio kipimo cha kama unahela au unawasindikiza walionazo
 
Yupo sahihi kama ametokea ChugA, darajani kuelekea na kurudi toka huko Duniani..Dar is overrated… nchi ingeendeshwa kimajimbo ChugA ingekuwa kama California.
Labda kwa kugawa makalio kwa wazungu kama wafanyavyo marasta wa chuga.
 
[emoji38][emoji38][emoji38]
 
Ungeenda hata kituo Cha makumbusho ujione warembo wakidaka daladala aisew acha kbsa hkn time napata mademu Kama kwenda makumbusho kuona watoto

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Hakuna sehemu maduka ya mitaani hufunguliwa na kuchelewa fungwa kama Dsm...
Ni Dar pekee kuna maduka hukesha
 
DSM haiwezi kuwa na pisikali kama Pisi za Arusha.
Watu ea Arusha mna unazi sana na kimkoa chenu, ukifika pale utachoka kinaazia ngarenaro kinaishia ngarenanyuki kwingine kote ni wamasai tu
 
Watu ea Arusha mna unazi sana na kimkoa chenu, ukifika pale utachoka kinaazia ngarenaro kinaishia ngarenanyuki kwingine kote ni wamasai tu

Nasema Kwa nchi hii.
Hakuna mji wenye watoto wazuri kama Arusha.
Vitoto vya DSM vingi vifupi
 
Kuna harufu gani huku Daslam? Nasikia jiji linanukia Marashi tu
 
Haya baba salam zao kawaadanganye wenzio kuwa umeimaliza dar kw masaa 4 and nothing new, wakati hata kwa mpalange haujafika unamzaha wewe!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…