MPHINGU
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 518
- 613
Wadau katika siku zilizopita TRA kupitia kwenye mitandao ya simu, walikuwa wakituma SMS za maelekezo namna ya kulipia kodi ya majengo na viwanja kupitia makampuni ya simu.
Kwa upande wangu, mimi nilijitahidi kulipia kwa mtindo huo nikashindwa. Sasa kama kuna wadau waliofanikiwa kulipia kwa style hiyo, watupe mbinu walizotumia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa upande wangu, mimi nilijitahidi kulipia kwa mtindo huo nikashindwa. Sasa kama kuna wadau waliofanikiwa kulipia kwa style hiyo, watupe mbinu walizotumia.
Sent using Jamii Forums mobile app