mzee wa kismati
JF-Expert Member
- Aug 25, 2013
- 2,291
- 798
una swali lolote kuhusu hostel, usajiri,degree programs,usalama, nk. basi usisite kuuliza
both brooooooooooooooowew ebu kuwa makini unetaja vyuo viwili bila kujijua
1 ARDHI UNIVERSITY
2 UNIQUE,A UNIVERSITY sasa waliochaguliwa chuo kipi kati ya hvo
Naomba mawasiliano yako nina shidauna swali lolote kuhusu hostel, usajiri,degree programs,usalama, nk. basi usisite kuuliza
nakutumia inboxNaomba mawasiliano yako nina shida
ni degree inayohusu mazingira, ikuhusiha vyanzo vyanzo vya maji, mimea, na mazingira kwaa ujumla. katika ujenzi wa majengo wanasimamia swala zima la usalama kwanza wa vibarua na wajenzi, wapita njia, wakazi, na mazingira kwa ujumla.Kuna dogo ka chaguliwa apo arhi coz ya environmental science wa weza mpa details kidogo ya hii coarse
Yeah umeeleweka but vp ajira zake kwa kuajiliwa zipo kwel..ni degree inayohusu mazingira, ikuhusiha vyanzo vyanzo vya maji, mimea, na mazingira kwaa ujumla. katika ujenzi wa majengo wanasimamia swala zima la usalama kwanza wa vibarua na wajenzi, wapita njia, wakazi, na mazingira kwa ujumla.
wanaweza kufanya kazi halmashauri kuilinda na kuitetea sharia ya healthy safety, OSHA, wizara ya ardhi nyumba na makazi, wizara ya maji na idara zake zote, wizara ya ujenzi na mashirika yanasimamia mazingira na kama unavyojua mazingira ni hot issue global now, kwa hyo fursa zipo ni kusoma, kijiani , kuzitambua fursa and work upon.
land evaluation ndio degree inayosemekana ni ngumu Zaidi, japo wapo wanamaliza bila kupata supplementary. kumaliza na gpa ya 2.0 ni kawaida sana kwani hawa jamaa wanasoma vitu vigumu sana, na ofcourse walimu wanachangia kwa upande flani, kwa hyo ndugu uje umejiandaa kisaikolojia kabisa. sikutishi lakini ukizingatia, ukijituma,nidhamu huwez kuingia katika mgogoro na mwalimu yeyte,Msaaada kwa koz ya land valuation ndugu?
hakuna kazi ambayo haina ajira, kikubwa ni kuelewa kazi, kuzitambua fursa na kuzitumia. ukibweteka nyumbn hakuna atakayekufuata akupe ajira. kwhy wakati unasoma ni bora utengeneze network mapema mara umalizapo tu chuo makampuni wakutafute, sio wwe ndio utafute makampuniYeah umeeleweka but vp ajira zake kwa kuajiliwa zipo kwel..
haipo ardhi kaka, chuo kile kinatoa unique education, hizi changanyikeni hazipo aiseeMkubwa Vip kozi ya Bachelor of Science General
Ipo udsm nimeionaa naiulizia vp ipjee coz nime apply third round ila Apo ardhi nimejaza Environmence science and manage menthaipo ardhi kaka, chuo kile kinatoa unique education, hizi changanyikeni hazipo aisee
yeyeto kati ya hizo mbili ni nzuri, sema kwa hyo science you got to luk for mastersIpo udsm nimeionaa naiulizia vp ipjee coz nime apply third round ila Apo ardhi nimejaza Environmence science and manage ment
General science au environment scienceyeyeto kati ya hizo mbili ni nzuri, sema kwa hyo science you got to luk for masters
general scienceGeneral science au environment science
Ahaaa so wakinichagua iyo environment science ipoje apo ardh coz ndo first selection nimeiekaageneral science
nimekwisha eleza hapo juuAhaaa so wakinichagua iyo environment science ipoje apo ardh coz ndo first selection nimeiekaa