Mliochagua kuwekeza/kujenga magorofa marefu Iringa kuliko Mbeya mnisaidie kipi liliwavutia?

Mafinga sio mji wa kibiashara? Is this a joke or?

Mafinga ni zaidi ya mji wa biashara! Zaidi ya 25% ya mbao zinazotumiwa TZ hii zinatoka Iringa - Mafinga na Kilolo! Bado unasema Mafinga sio mji wa biashara?

Kuna mashamba ya chai pale! Kuna kilimo cha mahindi na matunda Kwa wingi! Ulitaka biashara gani boss wangu?
Huu mji Ni wa kilimo Cha miti sio biashara miji ya biashara Ni makambako tunduma na kahama
 
Ni dhahiri huwezi linganisha Jiji la Mbeya lenye Manispaa tarajiwa ya Uyole na Manispaa ya Iringa.

Case closed

Screenshot_20210621-050746.png


Screenshot_20210621-050908.png


Screenshot_20210621-051100.png
 
ALiyekwambia yale magorofa ni hotel nani?

Iringa sio mji wa kibiashara ni mji wa kupumzika na mji wa kiofisi.
Yale magorofa mengi ni ofisi na na baadhi floor za chini ndio wanaweka biashara..
Mbeya ina muingiliano na watu wengi pia Matajiri wa pale mbeya sio wazawa wa pale ndio mana hawataki kujenga hayo magorofa wanajenga kwao,hata wenye magorofa pale mbeya sio wanyakyusa,wasafwa wala wanyika wengi wao ni wakinga ambao ni watu wa iringa..

Ruaha iringa
Isimila iringa
Kalenga iringa
Mikumi iringa

Wataliii ni wengi
Mikumi ipo Morogoro!
 
... Iringa ni hub ya East, North, Central, South. Halafu Mto Ruaha unaleta mandhari nzuri sana pale Iringa town; sema akili zetu kiduchu tu, kwa mto ule, Iringa ingeweza kuwa level ya London kimandhari. Sitashangaa kusikia kuna mgao wa maji Iringa kwa akili zetu hizi.
Iringa Ni hub??
 
ALiyekwambia yale magorofa ni hotel nani?

Iringa sio mji wa kibiashara ni mji wa kupumzika na mji wa kiofisi.
Yale magorofa mengi ni ofisi na na baadhi floor za chini ndio wanaweka biashara..
Mbeya ina muingiliano na watu wengi pia Matajiri wa pale mbeya sio wazawa wa pale ndio mana hawataki kujenga hayo magorofa wanajenga kwao,hata wenye magorofa pale mbeya sio wanyakyusa,wasafwa wala wanyika wengi wao ni wakinga ambao ni watu wa iringa..

Ruaha iringa
Isimila iringa
Kalenga iringa
Mikumi iringa

Wataliii ni wengi
Ngumu kumeza,unafuata fursa au unajenga kujifurahisha kwenu?

Hata hivyo hadithi yako ni zilipendwa,hayo magorofa marefu tayari yameshajengwa na yanaendelea kujengwa.Kuna majengo zaidi ya 10 yenye floors Kati ya 6-10
 
Screenshot_20220213-172007_1.jpg
makambako iyooo saiv miji mingi inakua kwa Kasi mfano makambako fursa ni nyingi saivi viwanda vipoo vya kutosha na vibali vya kujenga gorofa vinatolewaa bila kipingamizi kwaiyoo miaka ya 2025 tutegemee makubwaaa. Kwa mfano upande wa shule za English medium miaka ya 2015 zilikua Hamna ilaa saiv zipoo zaidi ya tano hiii inaonesha kwamba mjii wa makambako Kasi yake ni kubwa Sanaa na ni mjii umekaa kibiasharaa
 
Screenshot_20211228-221432_1.jpg

Kibodamo hoteli ndo gorofa lefu kwa makambako na limejengwa juzi juzi tuu apooo kwaiyoo baada ya muda kidogoo majengo ya gorofa yatakua ya kutoshaa na kwa makambako uwekezaji ni mkubwa sasaa
 
Back
Top Bottom