MADAM T JF-Expert Member Joined Oct 21, 2010 Posts 6,230 Reaction score 3,942 Mar 18, 2018 #41 Maria Roza said: Hehhehe kuvaa blue na njano kwa sanaaa halafu wa kaka wa mzumbe mhh walikuwa wanatutembelea kwa saaanaaa Click to expand... Usiombe ukutane na mluga mluga disco, anakung'ang'ania anataka kila muziki ucheze naye. Yaani anakuprivatize!
Maria Roza said: Hehhehe kuvaa blue na njano kwa sanaaa halafu wa kaka wa mzumbe mhh walikuwa wanatutembelea kwa saaanaaa Click to expand... Usiombe ukutane na mluga mluga disco, anakung'ang'ania anataka kila muziki ucheze naye. Yaani anakuprivatize!
MADAM T JF-Expert Member Joined Oct 21, 2010 Posts 6,230 Reaction score 3,942 Mar 18, 2018 #42 Nazjaz said: Mtc nawakumbuka sana wale mabitozi, haswa disko likipigwa chuoni kwao Click to expand... Matc umewasahau?
Nazjaz said: Mtc nawakumbuka sana wale mabitozi, haswa disko likipigwa chuoni kwao Click to expand... Matc umewasahau?