Makubwa, wewe ni mtambo, una elim gani mwenzetu?
Hivi nani anaejua zaidi haki na sheria ya ndoa ya kanisa, waliofunga ndoa kanisani ama padri aliesomea maswala ya ndoa ya kikristo?
Na nani anae jua zaidi haki na sheria ya ndoa ya kislam waliofunga ndoa kislam au shehe alio somea maswala ya ndoa ya dini ya kislam?
Na nani anae jua zaidi haki na sheria ya ndoa ya bomani, waliofunga ndoa bomani au mwanasheria alie somea maswala ya ndoa ya kibomani?
Ndo subiri waliofunga ndoa bomani hao wasio jua A wala B, wakupumbaze.
Maana hata wewe mwenyewe haueleweki