Leo kuna HIJA sehemu inaitwa NYAKIJOGA-MUGANA PARISH iliyopo kata ya Bwanjai, tarafa ya Kiziba wilaya ya Nkenge.
Ilianza jana kwa mkesha wa Hija. Papa aliibariki na kuwa Lurdi ya Tanzania na hivyo kuwa na hadhi ya watu kwenda kuabudu kwa Hija.
Mliopo hapo tunaomba kinachojiri tafadhali!
Ilianza jana kwa mkesha wa Hija. Papa aliibariki na kuwa Lurdi ya Tanzania na hivyo kuwa na hadhi ya watu kwenda kuabudu kwa Hija.
Mliopo hapo tunaomba kinachojiri tafadhali!