The choosen one1
Member
- Dec 13, 2023
- 88
- 343
Ndugu zangu wana JamiiForums, naombeni muongozo wenu.
Nitumie njia gani maana naona kwenye hatua za awali tu kumu approach anakuomba hela, sasa kwangu hii huni disappoint sana na hii si mara ya kwanza.
Naombeni ushauri wenu, umri 23.
Kwa mfano huyu sina mpango wa kumtafuta tena wakati namba ake nilipata juzi tu.
Nitumie njia gani maana naona kwenye hatua za awali tu kumu approach anakuomba hela, sasa kwangu hii huni disappoint sana na hii si mara ya kwanza.
Naombeni ushauri wenu, umri 23.
Kwa mfano huyu sina mpango wa kumtafuta tena wakati namba ake nilipata juzi tu.