Mlinzi hana mafunzo yoyote ya kiu salama hajui hata code za ulinzi wewe mwangalie anavyo fungua mlango hayuko makini kabisa.
Mnaokota watu vijiweni mnawaita walinzi hana hata element moja yakuwa mlinzi semeni CCM wakupeni vijana ile front line ya Mkuu wa nchi usipime hata kidogo vijana wapo fit wale ndio walinzi.
Magurudumu
===>Sio kweli,huwezi kuweka boya pale hata bastola halijui kushika halafu unamuita mlinzi wa kiongozi,analinda nini sasa?ulinzi lazima uwe na malengo,uwe na hadhi, kama ndio mnavyofanya basi imekula kwenu.
Mambo ya chadema tuwaachie chadema nyumba yetu ya ccm ina uchafu mwingi kama walivyo chadema tuwaachie yao yetu kwanza kuna mgao wa umeme tujiulize waziri wa nishati anafanya nini....mlinzi wa silaha anawahusu nini ccm tustoe kbanzi kabla ya kutoa boriti letu. ....