Mlinda mlango wa Iran kuadhibiwa kwa kumkumbatia shabiki mwanamke

1. Wapi umeona nikibagaza nguo za watu hata kama mimi hazinihusu?

2. Au wapi umeona nikijinasibu popote na dini yoyote Ile?

Angalizo: miye siyo mfia dini mwenzenu zenu ziwe uislamu, ukristo, ubaniani, uhindu, ubudha, upagani nk.

View attachment 2972749

BTW: Vipi vile vi drone vyetu vya watoto lini mwarusha tena?



Halafu mnakataza wanaume wasionekane kwenye magoti, mbona hawa huwa hamuwakamati

2022-09-23T160629Z_939259183_UP1EI9N18QR9Q_RTRMADP_3_SOCCER-FRIENDLY-IRN-URY-REPORT.jpg


Jiulize lizee la miaka 50 kuparamia katoto, mumekaa kingono ngono sana nyie watu

fb_img_1713868281980-jpg.2972336
 
MK254 ni mkatoliki?

1. Hilo kamwulize yeye.

2. Nimekuwa nikimwona akibagaza ya wengine kuwa ni Madera wewe hujawahi kuliona hilo?

3. Ni kwa kuliona hilo ndiyo maana nilimletea hivyo picha kuupata mwongozo wake au wa awaye yote ambaye amekuwa akiona na akabqkia kimya labda kama wewe pia.

Au nasema uongo ndugu MK254 na ndugu wafia dini wengine?
 
Halafu mnakataza wanaume wasionekane kwenye magoti, mbona hawa huwa hamuwakamati

2022-09-23T160629Z_939259183_UP1EI9N18QR9Q_RTRMADP_3_SOCCER-FRIENDLY-IRN-URY-REPORT.jpg


Jiulize lizee la miaka 50 kuparamia katoto, mumekaa kingono ngono sana nyie watu

fb_img_1713868281980-jpg.2972336

Ningali namsubiri mwongozo wako kuhusu haya mavalio tunayoyaheshimu sana ndugu. Nduguyo Yoda anaonekana kutokukusikia ukiyaita vinginevyo.

GLNs9LCXoAAsNLJ.jpeg


Unaweza kuthubutu kutamka kwa sauti tena kama wewe ni kidume kweli kweli?
 
Kosa #1 ni kutokimbia alipokuwa anakimbiliwa na hako kademu. Kosa #2 ni kukumbatia mwanamke hadharani. Kosa #3 ni kukumbatia asiye mke wake. Kosa #4 kuidhalilisha dini.

Akikutikana na hatia anaweza kunyongwa.
Dini zingine duniani zimewapa watu ujinga mwingi sana. Dini zimewafanya watu kuwa watumwa na kupoteza uhuru badala ya kuwaweka watu kuwa huru.
 

Hossein Hosseini, mlinda mlango wa klabu ya soka ya Esteghlal ya Iran, ameitwa kwenye kamati ya nidhamu ya Shirikisho la Soka ili kuelezea tukio la kumkumbatia shabiki wa kike.

Tukio hilo lilitokea Aprili 12, katika mechi kati ya Esteghlal FC na Aluminium Arak wakati shabiki mdogo wa kike alikwepa usalama kwa kukimbilia uwanjani na kumkumbatia Hosseini kama njia ya kuwatoroka walinzi waliokuwa wakimfukuza kwa kutovaa hijabu ya lazima. Kitendo hicho kilisababisha mtafaruku uliohusisha Hosseini na kikosi maalum.

====

Hossein Hosseini, goalkeeper for Iran's Esteghlal football club, has been called to the Football Federation's disciplinary committee to explain an incident in which he embraced a female fan.

The event occurred on April 12, in a match between Esteghlal FC and Aluminium Arak when a young female fan evaded security by running onto the field and embracing Hosseini as a means of escaping guards chasing her for not wearing the compulsory hijab. The act led to a scuffle involving Hosseini and special unit forces.

The disciplinary committee responded to the incident by suspending Hosseini for one session and imposing a fine of three billion rials (approximately $4,500).. It was deemed "unprofessional and beyond the legal duties of a player".

In a public reaction, the goalkeeper's captain made a sarcastic remark about the committee's decision, stating, "I will pay the fine, for the sake of that lady." Further complicating matters, IRNA, Iran's official news agency, reported that Hosseini might face additional penalties due to his recent public comments, suggesting that his previous suspension could now be enforced.

Legal analysts have noted that the disciplinary committee's actions appear to be in violation of existing regulations as Hosseini did not breach any specific laws during the incident, other than breaking Islamic rules about opposite sexes being in physical contact. The case has brought to light the broader issue of women's access to stadiums in Iran—a topic of significant debate and international concern for several years.

Since five years ago, FIFA has been urging Iran to allow women into football stadiums. However, the Football Federation and other governmental bodies have resisted the changes, often citing “inadequate infrastructure” as a reason for non-compliance. Despite occasional allowances for controlled entry of women into stadiums, the ongoing restrictions predominantly limit their presence, leading to sporadic participation in matches.

Iran Intl
Iran ni nchi nzuri sana lakini kwa bahati mbaya sana ni miongoni mwa nchi zenye utawala wa hovyo sana hapa duniani.
 
Ningali namsubiri mwongozo wako kuhusu haya mavalio tunayoyaheshimu sana ndugu. Nduguyo Yoda anaonekana kutokukusikia ukiyaita vinginevyo.

View attachment 2973500

Unaweza kuthubutu kutamka kwa sauti tena kama wewe ni kidume kweli kweli?

Ningali nasubiri unieleweshe hiki kitu alichokianzisha yule babu wako muarabu naona mnaiga nyote

fb_img_1713868281980-jpg.2972336
 
Kweli wafuasi wa mudi kichwani hamnazo
Siyo hilo tu bali pia ni waongo kweli kweli-Taqqya. Kwa sasa Uongo wao unaumbuliwa na Waislam wenzao ambao, Mungu amewaangazia na sasa wanafichuo Uongo huo. Ona huyu mtumishi huko Kenya anaitwa Ismail akifichua Uongo wa Waislam uliojaa kwenye Quran yao pamoja na midomo yao
 
Back
Top Bottom