KELVIN GASPER
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 1,066
- 454
chama cha liberal national party chini ya uongozi wa abbott kimeshinda uchaguzi mkuu nchini australia kwa kukiondoa chama cha labor cha aliyekuwa waziri mkuu rudd ambaye amekaa madarakani kwa kipindi cha miaka sita.
aliyekuwa waziri mkuu amekiri kushindwa kwa chama chake.
aliyekuwa waziri mkuu amekiri kushindwa kwa chama chake.