Dfour Member Joined Mar 18, 2010 Posts 47 Reaction score 10 May 2, 2012 #1 Mlevi katuma meseji kwa mke wake "Darling nipo bar napata mbili tatu, nitarudi nyumbani ndani ya dk 50 zijazo, ukiona kimya we soma tena hii meseji"
Mlevi katuma meseji kwa mke wake "Darling nipo bar napata mbili tatu, nitarudi nyumbani ndani ya dk 50 zijazo, ukiona kimya we soma tena hii meseji"
Shine JF-Expert Member Joined Feb 5, 2011 Posts 11,481 Reaction score 1,371 May 2, 2012 #3 Huyu mlevi lazima atakuwa mwanasiasa!
O old traford Member Joined Mar 10, 2012 Posts 35 Reaction score 1 May 2, 2012 #4 haaaaahhaaaa anaweza akasoma mpaka asbh asirudi
tz1 JF-Expert Member Joined Mar 19, 2011 Posts 2,121 Reaction score 536 May 2, 2012 #5 Duuuh,nimejifunza kitu hapo.
Amavubi JF-Expert Member Joined Dec 9, 2010 Posts 30,156 Reaction score 13,267 May 2, 2012 #7 kali mno mlevi ni mlevi tu
Endangered JF-Expert Member Joined Sep 22, 2011 Posts 922 Reaction score 231 May 2, 2012 #8 teh teh, hako kalevi kana akili lakini.
MUREFU JF-Expert Member Joined Oct 1, 2010 Posts 1,331 Reaction score 353 May 3, 2012 #9 khaaaaa.... hii ya ukweli hii
Wingu JF-Expert Member Joined Jan 14, 2011 Posts 4,318 Reaction score 408 May 3, 2012 #10 weee unamsema mwenyekiti wa tume yetu ehhh
mgodi JF-Expert Member Joined Nov 5, 2010 Posts 2,780 Reaction score 1,851 May 3, 2012 #11 Shine said: Huyu mlevi lazima atakuwa mwanasiasa! Click to expand... Tena atakuwa anacheo kikubwa sana kwenye wizara ya nishati na madini.
Shine said: Huyu mlevi lazima atakuwa mwanasiasa! Click to expand... Tena atakuwa anacheo kikubwa sana kwenye wizara ya nishati na madini.
S suri JF-Expert Member Joined Apr 9, 2012 Posts 404 Reaction score 260 May 3, 2012 #12 Endangered said: teh teh, hako kalevi kana akili lakini. Click to expand... kama yule jamaa aliekuwa anapiga kwangu kwako na mke wa yule kinyozie
Endangered said: teh teh, hako kalevi kana akili lakini. Click to expand... kama yule jamaa aliekuwa anapiga kwangu kwako na mke wa yule kinyozie
Y yaveni Member Joined Apr 3, 2012 Posts 66 Reaction score 32 May 3, 2012 #13 Dfour said: Mlevi katuma meseji kwa mke wake "Darling nipo bar napata mbili tatu, nitarudi nyumbani ndani ya dk 50 zijazo, ukiona kimya we soma tena hii meseji" Click to expand... Walevi wana akili sana , asiye mnywaji hawezi jibu hvyo.
Dfour said: Mlevi katuma meseji kwa mke wake "Darling nipo bar napata mbili tatu, nitarudi nyumbani ndani ya dk 50 zijazo, ukiona kimya we soma tena hii meseji" Click to expand... Walevi wana akili sana , asiye mnywaji hawezi jibu hvyo.