Mwita Maranya
JF-Expert Member
- Jul 1, 2008
- 10,565
- 7,988
MLEVI mmoja aliwaambia wenzake 'Jamani nina wasiwasi, nahisi mimi ni Mungu'. Wakamuuliza kwa nini unahisi hivyo?
Akajibu! Jana ile kufika nyumbani tu mke wangu akasema MUNGU WANGU, umelewa tena?
Nikawatukana majirani wakanipeleka kituo cha Polisi, ile kufika tu mkuu wa kituo akasema MUNGU WANGU umeletwa tena?
Jioni hii nimekuja hapa baa, wahudumu walivyoniona tu wakasema MUNGU WANGU umekuja tena!
Ndiyo maana nina mashaka kuwa huenda mimi nikawa ndiyo Mungu!!!"
Akajibu! Jana ile kufika nyumbani tu mke wangu akasema MUNGU WANGU, umelewa tena?
Nikawatukana majirani wakanipeleka kituo cha Polisi, ile kufika tu mkuu wa kituo akasema MUNGU WANGU umeletwa tena?
Jioni hii nimekuja hapa baa, wahudumu walivyoniona tu wakasema MUNGU WANGU umekuja tena!
Ndiyo maana nina mashaka kuwa huenda mimi nikawa ndiyo Mungu!!!"