Pancras Suday
JF-Expert Member
- Jun 24, 2011
- 8,143
- 3,830
Mlevi alianguka kwenye dumu la taka, makalio yake yakawa nje kidogo. Akapita kichaa mmoja, akamshika makalio, mlevi akatingisha makalio yake. Kichaa akajisemea moyoni "mtaa huu una matajiri sana, matako mazima kabisa haya yametupwa"