Mlete haraka kuliko afungwe atatusaidia kwenye mambo yetu

britanicca

JF-Expert Member
May 20, 2015
15,649
30,014
Mambo yetu ili yanyooke mtoeni jamaa nje alafu moja kwa moja aje nyumba mithili ya meli ! Pale wanapoingia kwa code maalumu na hawaitani majina wanaitana chifu pili ukienda ijumaa aga kabisa nyumbani wenda ukarudi jumatatu maana simu zinaachwa reception 🤕

Itatupunguzia haya

Kitaifa tutatulia na ana ushawishi kwa kundi lake ila apewe miongozo kadha wa kadha kwamba bila hili kuna hiki bila lile kuna hili.

Stahiki apewe na asizibwe kabisa mdomo bali aongee kuwahadaa wafuasi

Hakikisha kwanza anawekewa mazingira hatarishi endapo akikiuka haya

Safari zake je?

Atalipiwa kila kitu na posho atapata kwa kifupi tunamuajiri rasmi hata kama ni mzee


Britanicca
 
Mambo yetu ili yanyooke mtoeni jamaa nje alafu moja kwa moja aje nyumba mithili ya meli ! Pale wanapoingia kwa code maalumu na hawaitani majina wanaitana chifu pili ukienda ijumaa aga kabisa nyumbani wenda ukarudi jumatatu maana simu zinaachwa reception 🤕

Itatupunguzia haya

Kitaifa tutatulia na ana ushawishi kwa kundi lake ila apewe miongozo kadha wa kadha kwamba bila hili kuna hiki bila lile kuna hili.

Stahiki apewe na asizibwe kabisa mdomo bali aongee kuwahadaa wafuasi

Hakikisha kwanza anawekewa mazingira hatarishi endapo akikiuka haya

Safari zake je?

Atalipiwa kila kitu na posho atapata kwa kifupi tunamuajiri rasmi hata kama ni mzee


Britanicca

Naona unajifanya kucheza mind game, lakini kama ni Mbowe ndio anatumika kwenye hilo, basi watu tumeshamstukia na kumpotezea. Ni muda mfupi tutaanza kumkana hadharani. Kama mliamini anasikilizwa kiasi cha kuagiza chochote mmeliwa. Alifanikiwa kumpa Lowassa nafasi ya kugombea urais, ila kosa lile halitakaa lirudiwe.
 
Mambo yetu ili yanyooke mtoeni jamaa nje alafu moja kwa moja aje nyumba mithili ya meli ! Pale wanapoingia kwa code maalumu na hawaitani majina wanaitana chifu pili ukienda ijumaa aga kabisa nyumbani wenda ukarudi jumatatu maana simu zinaachwa reception

Itatupunguzia haya

Kitaifa tutatulia na ana ushawishi kwa kundi lake ila apewe miongozo kadha wa kadha kwamba bila hili kuna hiki bila lile kuna hili.

Stahiki apewe na asizibwe kabisa mdomo bali aongee kuwahadaa wafuasi

Hakikisha kwanza anawekewa mazingira hatarishi endapo akikiuka haya

Safari zake je?

Atalipiwa kila kitu na posho atapata kwa kifupi tunamuajiri rasmi hata kama ni mzee


Britanicca

IMG-20221214-WA0019.jpg
 
Mambo yetu ili yanyooke mtoeni jamaa nje alafu moja kwa moja aje nyumba mithili ya meli ! Pale wanapoingia kwa code maalumu na hawaitani majina wanaitana chifu pili ukienda ijumaa aga kabisa nyumbani wenda ukarudi jumatatu maana simu zinaachwa reception 🤕

Itatupunguzia haya

Kitaifa tutatulia na ana ushawishi kwa kundi lake ila apewe miongozo kadha wa kadha kwamba bila hili kuna hiki bila lile kuna hili.

Stahiki apewe na asizibwe kabisa mdomo bali aongee kuwahadaa wafuasi

Hakikisha kwanza anawekewa mazingira hatarishi endapo akikiuka haya

Safari zake je?

Atalipiwa kila kitu na posho atapata kwa kifupi tunamuajiri rasmi hata kama ni mzee


Britanicca
Mlamba asali mbowe
 
Naona unajidlfanya kucheza mind game, lakini kama ni Mbowe ndio anatumika kwenye hilo, basi watu tumeshamstukia na kumpotezea. Ni muda mfupi tutaanza kumkana hadharani. Kama mliamini anasikilizwa kiasi cha kuagiza chochote mmeliwa. Alifanikiwa kumpa Lowassa nafasi ya kugombea urais, ila kosa lile halitakaa lirudiwe.
Ila wewe huwa humpendi Mbowe aisee. Yaani propaganda kidogo ya mlumumba umeshaingia King.
 
Naona unajidlfanya kucheza mind game, lakini kama ni Mbowe ndio anatumika kwenye hilo, basi watu tumeshamstukia na kumpotezea. Ni muda mfupi tutaanza kumkana hadharani. Kama mliamini anasikilizwa kiasi cha kuagiza chochote mmeliwa. Alifanikiwa kumpa Lowassa nafasi ya kugombea urais, ila kosa lile halitakaa lirudiwe.
Chama ni Cha mtei,baba mkwe wa mbowe,na mbowe ni msimamizi mkuu wa shughuli za chama,we bwata tu
 
Back
Top Bottom