Barack Obama, akizungumza na
kituo cha MTV kabla ya uchaguzi wa
mwaka 2008, alisema sheria zinazopiga
marufuku uvaaji wa suruali za mlegezo
zilikuwa sawa na kupoteza muda, lakini
alifuatisha matamshi hayo na: "Baada ya
kusema hayo, kina kaka laazima
wapandishe suruali zao. Unatembea
sambamba na mama yako, na bibi yako,
chupi yako inaonekana, tatizo ni nini?
Baadhi ya watu hawapendi kuona chupi
yako.