Mkwawa High School mpo?

Mkwawa High School mpo?

Kitia

JF-Expert Member
Joined
Dec 2, 2006
Posts
418
Reaction score
79
Nauliza kama hapa JF wapo waliopitia Mkwawa High School miaka ya 1974-75?
 
Mkuu kwa hesabu za haraka haraka, 'wengi humu' kipindi hicho walikuwa wanacheza kombolela!
 
Mkuu kwa hesabu za haraka haraka, 'wengi humu' kipindi hicho walikuwa wanacheza kombolela!

achilia mbali kuwa walikuwa wameshazaliwa....... unaongelea miaka 33-34!!!.
 
Wadau wa JF waliopita Mkwawa high school nawapa hi.
Mbona unakusahau Makanyagio? Au wewe ulikuwa unapapenda sana Gangilonga? Maana taa za pale zilikuwa hazichukui siku zinapasuliwa.!! Hahahaha! (kama zile kuta za Gangilonga zingekuwa zinaongea? Mhmmm!!) lakini ni Bonge ya shule.
 
Mbona unakusahau Makanyagio? Au wewe ulikuwa unapapenda sana Gangilonga? Maana taa za pale zilikuwa hazichukui siku zinapasuliwa.!! Hahahaha! (kama zile kuta za Gangilonga zingekuwa zinaongea? Mhmmm!!) lakini ni Bonge ya shule.

Makanyagio si ndio tulikuwa tunapata wali na maharage, tulikuwa kila siku tunakimbizana na NGUI.
 
hahahahaaaaa Makongoro's na bonge ya maandazi ya makanyagio aise umenikumbusha mbaali na mbio za MKUU NGUI,

bila kumsahau mzee Mwangoka!!!

wapi palee kibanda simama ambapo gembe's and kongoro's meet,

sijui sasa pamekuwaje na status yake mpya!!!!
 
tehe tehe, bila kumsahau mtu mfupi mgimwa, kwa makanyagio mzee chuwa na nelson,kaazi kweli kweli, na yule mama wa aggrey alikuwa mnoko akachezea kipondo mama massawe, aliacha kabisa kwenda mjini kwa miguuu. Na mwalimu masebo wa lumumba west
 
Unakumbuka kulikuwa na staili ya Form 5 kuchukua mademu wa Form 6 (walikuwa wanaitwa wajane enzi hizo)
 
mmemsahu mama mpogole,ukiumwa mpaka aje kukuangalia karne imepita hahaha! bongo bwana
 
There I met one of the leaders I admired....Mr. Mgohamwende. Yupo wapi huyu mzee aliyekuwa hajui kuongea ongea ili afurahishe watu, ila mtu aliyajari nidhamu hodari wa kutimiza anayoyataka
 
Mhh umekula chumvi, 1974-75 ndio ulikuwa High School, hongera!!

Asante sana. Hii pia inaonyesha kuwa JF ina watu wa kila rika, kila fani na kutoka sehemu mbalimbali za dunia. Jambo hili ni mojawapo ya mambo yanaifanya forum ya JF kuwa na nguvu sana. Tutumie chombo hiki ipasavyo.
 
ahahahaha...wadau kweli tunakumbushana mbali sanaaa...i wish sikumoja naenda pale maana pana-kijihistoria cha maisha yetu...MKWAWA COMPLEX AND CASSINO....Mgohamwende nakumbuka ile tunaanza form v watoto flani wakaleta utozi na usista duu,,....acha awatimue school fasta...anapiga bit la kufa m2...THIS IS A SOBIBO CAMP....Mdau nguwi acha anikimbize mitaa ya makanyagio mpaka akanikamata..kesho yake si ndio msala huu assembly...hapa mgohamwende hapa ngoka kushoto nguwi mwenyewe...si nikacheze sana bakora za ukubwani na ni za mwisho kutandikwa...may be uzeeni nikiukwaa uwaziri then niwe fisadi kisha nihukumiwe na pilato bakora ita unaingia segerea na sita ukiwa unatoka ukamwonyeshe mkeo na wajukuu..ahahaahah..VERY FUN mkwawaaaa
 
nasikia pia Nguwi kesha tangulia mbele za haki...Mwangoka ni headmaster wa shule flani huko nyanda za juu...mwaipaja ni mwalimu kitu kama SUA au MZUMBE, Mgohamwende alipelekwa mitaa ya Mazengo...ila sijui yupo wapi tena maana na mazengo nayo ndo hiyo inakuwa university....
 
Du ze mkwawa ilikua poa makanyagio wali unakula kidogo tumbo linajaa ma hamira ya mzee chuwa ila palikua panatutoa sana tuliokua hatuwezi enda canteen.

Nakumbuka siku ya concert watu walikua wanajiandaa kama una demu lazima ulipe siti mbili mkae karibu.

Wahuni tulikua tunaenda lamba viloba kwanza kutoa nishai kabla concert halijaanza.
 
Kwa kweli mmenikumbusha mbali sana >maandazi ya makanyagio plus mbio za ngui na mwangika kukanyaga maandazi

hahaaa
 
Back
Top Bottom