Hawa wakuu wa wilaya wote ni pumba tu; Zero kabisa, ametumia sheria ipi? Nawashangaa hawa watumishi wanaochapwa viboko, kuswekwa rumande na hawa majuha then wanakaa kimya. Ni uoga au? Mtaonewa mpaka lini?
Eti, mkuu wa wilaya anasema "mtu atakayeugua kipindupindu atamsweka rumande!" Kweli? Hivi wanafikiri kufagia barabara juzi na kuokota makopo ndio njia ya kuzuia cholera? Mimi huwa sipendi kuonewa hata kidogo.