Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa wakuu wa wilaya wote ni pumba tu; Zero kabisa, ametumia sheria ipi? Nawashangaa hawa watumishi wanaochapwa viboko, kuswekwa rumande na hawa majuha then wanakaa kimya. Ni uoga au? Mtaonewa mpaka lini?
Eti, mkuu wa wilaya anasema "mtu atakayeugua kipindupindu atamsweka rumande!" Kweli? Hivi wanafikiri kufagia barabara juzi na kuokota makopo ndio njia ya kuzuia cholera? Mimi huwa sipendi kuonewa hata kidogo.
Mkuu wa wilaya anayo hayo mamlaka?
umesoma hadi la ngapi mkuu?
Jibu swali
Mkuu wa wilaya ana mamlaka ya kumfukuza mtumishi kazi?
Usiniite mkuu kama una akili za kibwege
mtu kaiba amefukuzwa kazi mnaanza kumponda kweli ELIMU ELIMU ELIMU inahitajika