Nafikiri huyu jamaa somo la risk management alilielewa vizuri, ni mchumia tumbo pekee anayeacha professional job anakimbilia kazi isiyo na security yeyote.Cost Benefits analysis! Huwezi kuacha Taaluma yako then ukafanye kazi ya Unoko fitina na Majungu! Ukuu wa Wilaya ni Kazi ya watu walio kosa kazi! Hongera MASWANYA!