Jana mkuu wa wilaya Manispaa ya Tabora alionja joto ya jiwe baada ya kuwakusanya walimu katika ukumbi wa chuo cha utumishi wa umma na kuwataka wachangie sh. 5000/= kila mmoja kwa ajili ya mchango wa Mwenge na Sherehe za miaka 50 ya Uhuru huku akiadai anahitaji sh.million 280,000,000 kwa ajili ya sherehe nzima.
Walimu vijana walimwambia huo ni Ufisadi kwa nini uhitaji hela nyingi hivyo kwa ajili ya sherehe ya siku moja na usisaidie watoto masikini na kuchonga madawati. Wanajamii tunahitaji mawazo yenu pia kwa hili.
Walimu vijana walimwambia huo ni Ufisadi kwa nini uhitaji hela nyingi hivyo kwa ajili ya sherehe ya siku moja na usisaidie watoto masikini na kuchonga madawati. Wanajamii tunahitaji mawazo yenu pia kwa hili.