NAGAMAHONGA
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 12,322
- 10,898
ngaleAnashika pen vzr aiseee na hvo
Vidole amevikunja vzr mpaka utamu
ngaleAnashika pen vzr aiseee na hvo
Vidole amevikunja vzr mpaka utamu
Ndo nn mkuungale
genye mkuu.Ndo nn mkuu
Hahahaha
Kaaazi kweli kweli walahi
That’s all!
Aiseee huyo uso wake tu unafanya dusheegenye mkuu.
utamu wa pilau huanza na harufuye.Aiseee huyo uso wake tu unafanya dushee
Idise
Na unaweza lala mlango wazi ukitaraji anaingia sungura la hasha anaingia fisi hapo ndiyo utajua roho mbaya haijengiRiziki ya mwenzako usiilalie mlango wazi...
No matter how u are, Mungu akitaka kukuinua anakuinua.
Ni kujiongeza tu mkuuhuyo steve nyerere kwa kujipendekeza hajambo? kijamaa kinajifanyaga kina akili kuliko wasanii wote
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Em tuwe wakweli wanaume wenzangu nani mwenye uthubutu wakumnyima mtoto joketi hiyo nafasi? Mimi hata Bunge lenu ningeuza tu mngejenga jingine
Anaboa kinomahuyo steve nyerere kwa kujipendekeza hajambo? kijamaa kinajifanyaga kina akili kuliko wasanii wote
Huu ushikaji kalamu though!! Ni wa watoto wavivu..

Ni vyema watu wakubali kuwa she is muheshimiwa yaliyopita kuhusu picha zake nk ni kwa vile alikuwa kwenye fani ya entertainment na ili asurvive it waz lazima afanye aliyofanyaDespite mambo yake aliyopitia. Amependeza sana kwenye hiyo picha.
Kuna jamaa kapata kiti kimoja cha ubunge alitaka kuhonga nchi simlaumu.We jamaa unaua bwana...dah!nimecheka kwa sauti
Nasikia kumbe huyu anapigiwa saluti akiwa wilayani kwake tu.
Hata mike anashika hivyo hivyoAnashika pen vzr aiseee na hvo
Vidole amevikunja vzr mpaka utamu
Sio dharau mkuu afande anamuona Joketi kama yuko uchi japo kavaa nguohuyo afande kaonyesha dharau ya hali ya juu,yani anampigia salute mheshiwa huku ukiwa unacheka!