Mkuu Wa wilaya asema atafanya fujo

Mkuu Wa wilaya asema atafanya fujo

Lituye

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2015
Posts
1,864
Reaction score
5,697
Mkuu Wa wilaya ya Bagamoyo amemuagiza Mkuu Wa polisi wilaya hiyo kumuhamisha Mara moja mkuu wa kituo cha polisi cha wami ifikapo kesho kutokana na madai kuwa anawapendelea wafugaji dhidi ya wakulima.

Akiongea kupitia taarifa ya habari ITV usiku huu, amesema kuwa Kama mpaka kesho Asubuhi atakuwa hajahamishwa basi yeye atafanya fujo kubwa snaa bila kusema ni fujo gani hiyo.

Kwa hali hii sizani kama ndio utawala Wa sheria unao ongoza nchi maana Kama mtumishi Wa serikali alistahili kusikilizwa na ikibainika kuwa anahatia ndipo angechukuliwa hatua.

Huwezi sikiliza maoni ya upande mmoja tuu halafu wewe sio hakimu unatoa hukumu tena uhamisho Wa siku moja hii sio halali na kinyume kabisa na haki za binadamu na utu hata Kama ingekuwa ana hatia.
 
Mkuu Wa wilaya ya Bagamoyo amemuagiza Mkuu Wa polisi wilaya hiyo kumuhamisha Mara moja mkuu wa kituo cha polisi cha wami ifikapo kesho kutokana na madai kuwa anawapendelea wafugaji dhidi ya wakulima.

Amesema kuwa Kama mpaka kesho Asubuhi atakuwa hajahamishwa basi yeye atafanya fujo kubwa snaa bila kusema ni fujo gani hiyo.

Kwa hali hii sizani kama ndio utawala Wa sheria unao ongoza nchi maana Kama mtumishi Wa serikali alistahili kusikilizwa na ikibainika kuwa anahatia ndipo angechukuliwa hatua.

Huwezi sikiliza maoni ya upande mmoja tuu halafu wewe sio hakimu unatoa hukumu tena uhamisho Wa siku moja hii sio halali na kinyume kabisa na haki za binadamu na utu hata Kama ingekuwa ana hatia.
Like father like son
 
Mkuu wa wilaya ni mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya,mmoja kati ya wajumbe wa kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya,ni kamanda wa polisi wa wilaya (OCD)

Kwa nini hakumwambia hukohuko kwenye vikao?
He huwa hawafanyi vikao mpaka ifike ITV?

Kama kiongozi kachukua hatua gani za kudumu kutatua mgogoro? Au anarusha mzigo kwa mnyonge ili yeye abaki salama? Alishaitisha kikao na wafugaji akajua kwa nini wanazozana na wakulima?

Kwa nini anataka kufanya fujo wakati siku ya kuapishwa alikabidhiwa sheria na katiba na akaapa kuzilinda na kuziheshimu?
 
Mkuu wa wilaya ni mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya,mmoja kati ya wajumbe wa kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya,ni kamanda wa polisi wa wilaya (OCD)

Kwa nini hakumwambia hukohuko kwenye vikao?
He huwa hawafanyi vikao mpaka ifike ITV?

Kama kiongozi kachukua hatua gani za kudumu kutatua mgogoro? Au anarusha mzigo kwa mnyonge ili yeye abaki salama? Alishaitisha kikao na wafugaji akajua kwa nini wanazozana na wakulima?

Kwa nini anataka kufanya fujo wakati siku ya kuapishwa alikabidhiwa sheria na katiba na akaapa kuzilinda na kuziheshimu?
Sasahivi kila mtu anatafuta kiki ilimradi Ngosha amsikie ajue nae anachapa kazi
Dawa waliyogundua ni kila ufanyapo jambo tangaza kwenye media Ngosha akiona tu umeula mkuu
 
Mwacheni afanye fujo tumwone anamtishia nani? Sihami sasa, yeye ni nani hasa mpaka shinikize watu kunihamisha kwa nguvu?
 
Mkuu Wa wilaya ya Bagamoyo amemuagiza Mkuu Wa polisi wilaya hiyo kumuhamisha Mara moja mkuu wa kituo cha polisi cha wami ifikapo kesho kutokana na madai kuwa anawapendelea wafugaji dhidi ya wakulima.

Akiongea kupitia taarifa ya habari ITV usiku huu, amesema kuwa Kama mpaka kesho Asubuhi atakuwa hajahamishwa basi yeye atafanya fujo kubwa snaa bila kusema ni fujo gani hiyo.

Kwa hali hii sizani kama ndio utawala Wa sheria unao ongoza nchi maana Kama mtumishi Wa serikali alistahili kusikilizwa na ikibainika kuwa anahatia ndipo angechukuliwa hatua.

Huwezi sikiliza maoni ya upande mmoja tuu halafu wewe sio hakimu unatoa hukumu tena uhamisho Wa siku moja hii sio halali na kinyume kabisa na haki za binadamu na utu hata Kama ingekuwa ana hatia.
Polisi ni amri na si kusikilizana kama kazi zenu hizo za kushika chaki. Maana katika barua zenu mliandikiwa "utatekeleza majukumu yote yaliyoainishwa katika barua hii, pamoja na kazi nyingine utakayopangiwa na mkuu wako
 
Mkuu wa wilaya ni mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya,mmoja kati ya wajumbe wa kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya,ni kamanda wa polisi wa wilaya (OCD)

Kwa nini hakumwambia hukohuko kwenye vikao?
He huwa hawafanyi vikao mpaka ifike ITV?

Kama kiongozi kachukua hatua gani za kudumu kutatua mgogoro? Au anarusha mzigo kwa mnyonge ili yeye abaki salama? Alishaitisha kikao na wafugaji akajua kwa nini wanazozana na wakulima?

Kwa nini anataka kufanya fujo wakati siku ya kuapishwa alikabidhiwa sheria na katiba na akaapa kuzilinda na kuziheshimu?
Viongozi wa "hovyo" hao
 
Sasahivi kila mtu anatafuta kiki ilimradi Ngosha amsikie ajue nae anachapa kazi
Dawa waliyogundua ni kila ufanyapo jambo tangaza kwenye media Ngosha akiona tu umeula mkuu
Na inawezekana huwa wanawalipa hawa waandishi.

Kuna mkuu wa mkoa mmoja wa Dar (wa zamani kutoka tanga)aliwahi kugoma kuendelea na mkutano wa waandishi wa habari,kisaa!!!??

watu wa television hawajafika!

Haraka akatoa gari wafatwe popote walipo,anasema "bosi wangu atanionaje kama nafanya kazi?SAA mbili lazima nionekane"
 
Hata utingo alipata cheo kwa kufanya fujo....Mwambie ajitahidi kupiga hadi apate u-RC.
 
Alhaj Majid Mwanga-Mkuu wa Wilaya ya Bagamoyo mkoa wa Pwani
 
Mkuu wa wilaya ni mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya,mmoja kati ya wajumbe wa kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya,ni kamanda wa polisi wa wilaya (OCD)

Kwa nini hakumwambia hukohuko kwenye vikao?
He huwa hawafanyi vikao mpaka ifike ITV?

Kama kiongozi kachukua hatua gani za kudumu kutatua mgogoro? Au anarusha mzigo kwa mnyonge ili yeye abaki salama? Alishaitisha kikao na wafugaji akajua kwa nini wanazozana na wakulima?

Kwa nini anataka kufanya fujo wakati siku ya kuapishwa alikabidhiwa sheria na katiba na akaapa kuzilinda na kuziheshimu?
Kuna mambo yanatatiza sana unapoyasikia, nimemsikia huyo DC akiongea kwenye taarifa ya habari ya saa mbili usiku. Awamu hii ina mambo mengi yanayoshangaza!
 
Back
Top Bottom