Soma bandiko zima utaelewa. Usikurupuke kujibu comment kabla hujasoma bandiko. Hutaweza kuelewa kamweNdio mmi sifahamu,ila wwe inaonekana unakamwngaza kiDogo.......
"Ajiuzuru. Hatuwezi kumlipa mshahara alafu anashindwa kazi tuliyomuagiza"
Sawa mkuu nishaiona kazi ambayo alikuwa kaagizwaSoma bandiko zima utaelewa. Usikurupuke kujibu comment kabla hujasoma bandiko. Hutaweza kuelewa kamwe
Kama una video si haba tukaipata mkuuGari nikupe mm,mashahara nikulipe mm,halfu umtangaze mpinzani ameshinda?huna kazi kuanzia siku nukuu rais magufuli
Kauli ya huyo RC itakuwa imewavua nguo hawa mabwana na kwakweli kwa sasa watakuwa wamejawa na ghazabu ya kufa mtu huko waliko maana waliishaitangazia dunia kuwa wao wameshinda kisayansi.
Nawapa tahadhari moja tu kuwa kama hamna au hamkutanza ushahidi wa sauti juu ya aliyoyasema mjiandae kwa figisufigusu ndani ya masaa 24 mpaka 72 yajayo.
Jambo lingine ni kuwa,kama mliongea nae kwa simu ni bora mkawahi mapema kwenye kampuni husika ya simu ili wawakabidhi ushahidi wa mazunguzo hayo mapema na haraka iwezekanavyo maana lolote linaweza kutokea.
Mwenzako akinyolewa,wewe tia maji.
Mkuu sio ukuu wa mkoa tu, ingependeza wawe wenyeviti wa mikoa wa chama cha mapinduzi, na ma ocd wawe wenyeviti wa wilaya wa ccm.Mimi nina wazo kwanini ma RPC wasiwe ndio wakuu wa mikoa...!!!?
HahahahaaMkuu sio ukuu wa mkoa tu, ingependeza wawe wenyeviti wa mikoa wa chama cha mapinduzi, na ma ocd wawe wenyeviti wa wilaya wa ccm.